Nitaendelea kusisitiza ifike mahal watu waliosoma taaluma ya elimu wabadilike, movement nyingine hazina mashiko, kwani mnafikir nyie 2 ndo mlioahidiwa ajira? sasa kuna maafsa uvuv, madkt, manes, mifugo, misitu nk.. lakni wala huwasikii ! wanafanya mambo mengine, wakitaka kuwapa sawa wasipot aka sawa., walimu mmezoea kujiendekeza, YES. mnajiona wenye hak kuliko wengine, kulia lia na kubweteka, unakula kwa mama kusubir ajira, u ar hopples, u gotta to think out of that box dears!!