Haya lkn hali ni teteSawa mkuu kua na imani wikii hii ni mwisho wa mwezi wataweka
Wazima kiongoziWatoto wetu wapo salama lakin?
Nini tena mkuuAiseeee
Waziri Mpango tayari keshaanza kaziSawa mkuu kua na imani wikii hii ni mwisho wa mwezi wataweka
Acha utoto mwenzako nalala na njaaa leoMiradi kibao wenzako wamekopa!! Mpaka mwezi wa saba ndio wote mtakuwa mmepata
Daaahhhh madharau hayo mdadaKwa mwandiko huu wewe ni mwalimu kweli?Au ndo nyie mlipitishwa kimakosa na mfumo?
Anyway pole sana!Keep waiting.
Namuombea corona imwachie daaah jana nimemcheki tbcni hatariWaziri Mpango tayari keshaanza kazi
Nahisi wametusahau mkuu sijala tangu juziWewe unafikiri hawalijui hilo?watakuwa
Sawa mkuu wasipofanya hivyo utanitafutaHaya lkn hali ni tete
Yeah! tayari bwana mdogo awe na subira tuWaziri Mpango tayari keshaanza kazi