Walimu Wasio Na Ajira (NETO)mkipewa mkopo nafuu na serikali mfungue mradi wa shule mtakubali?

Walimu Wasio Na Ajira (NETO)mkipewa mkopo nafuu na serikali mfungue mradi wa shule mtakubali?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Najiuliza kama hawa wakipewa mkopo au kudhaminiwa Benki wapate mkopo wafungue shule binafsi, na mkopo uwe na suspended interest.

Wanajiunga vikundi vikundi tu, wa kufungua nursery haya, primary hayaaa, secondary hayaaa. Japo usimamizi wa serikali uwepo ili fedha isipotee. Ila biashara za ushirika kiafrika kurogana sasa

Hapo vipi?
 
Najiuliza kama hawa wakipewa mkopo au kudhaminiwa Benki wapate mkopo wafungue shule binafsi, na mkopo uwe na suspended interest. Wanajiunga vikundi vikundi tu, wa kufungua nursery haya, primary hayaaa, secondary hayaaa. Japo usimamizi wa serikali uwepo ili fedha isipotee. Ila biashara za ushirika kiafrika kurogana sasa

Hapo vipi?
Serikali iko tayari kuwapa hiyo mikopo or ni misemonya kisiasa tu?
 
Najiuliza kama hawa wakipewa mkopo au kudhaminiwa Benki wapate mkopo wafungue shule binafsi, na mkopo uwe na suspended interest. Wanajiunga vikundi vikundi tu, wa kufungua nursery haya, primary hayaaa, secondary hayaaa. Japo usimamizi wa serikali uwepo ili fedha isipotee. Ila biashara za ushirika kiafrika kurogana sasa

Hapo vipi?
Ila biashara za ushirika kiafrika kurogana sasa
 
ACHENI TU USAILI WA WALIM UBAKIE HIVYO WAZEE.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui. ...

WAZEE ACHENI INTERVIEW ZIAMUE. at least tutapata walim wenye mwelekeo.. kuliko tungefanya kuwachota tu kama maji. (AT LEAST TUTAPATA WALIM BORA)

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
 
Najiuliza kama hawa wakipewa mkopo au kudhaminiwa Benki wapate mkopo wafungue shule binafsi, na mkopo uwe na suspended interest. Wanajiunga vikundi vikundi tu, wa kufungua nursery haya, primary hayaaa, secondary hayaaa. Japo usimamizi wa serikali uwepo ili fedha isipotee. Ila biashara za ushirika kiafrika kurogana sasa

Hapo vipi?
Kuendesha biashara Sio rahisi hivyo.

Watafeli BIG time.
 
Najiuliza kama hawa wakipewa mkopo au kudhaminiwa Benki wapate mkopo wafungue shule binafsi, na mkopo uwe na suspended interest.

Wanajiunga vikundi vikundi tu, wa kufungua nursery haya, primary hayaaa, secondary hayaaa. Japo usimamizi wa serikali uwepo ili fedha isipotee. Ila biashara za ushirika kiafrika kurogana sasa

Hapo vipi?
Hakuna ulichopendekeza. Mpaka Sasa Kuna ule mkopo wa Pato la ndani ya halmashauri 10%. Hakuna mkopo utakaoupata kama siyo mnufaika wa mfumo wa hovyo wa Ma CCM( waimba mapambio kama wewe). Kingine wazo lako ni zuri ila hakuna atakayepata hicho kitu na Hilo siyo suluhisho la tatizo
 
Hakuna ulichopendekeza. Mpaka Sasa Kuna ule mkopo wa Pato la ndani ya halmashauri 10%. Hakuna mkopo utakaoupata kama siyo mnufaika wa mfumo wa hovyo wa Ma CCM( waimba mapambio kama wewe). Kingine wazo lako ni zuri ila hakuna atakayepata hicho kitu na Hilo siyo suluhisho la tatizo
Safari ni hatua
 
Back
Top Bottom