Huu ni ujumbe wao unaosambazwa kwa kasi sana kwenye mitandao na simu baada ya Serikali kutupilia mbali mdai yao ya msingi:
"Ndugu Mwalimu, katika somo au masomo yako hakikisha humwandai mwanafunzi kupata A,B,C wala D. Mwandae katika kiwango cha F kwa sababu hata akipata A juhudi zako ni sawa na bure. Hii ndo silaha yetu ya mwisho. TUMA MSG HII KWA MWALIMU YEYOTE"
Kama serikali haitaliangalia hili swala kwa makini - Kuna hatari kubwa sana katika taifa hili.