Pre GE2025 Walimu watakaofaulisha Mbeya kupelekwa Dubai

Pre GE2025 Walimu watakaofaulisha Mbeya kupelekwa Dubai

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
1721148822577.png

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera kuwapeleka walimu 10 wa shule za msingi na sekondari Dubai kwa watakaofanikisha ufaulu mwakani, imeonekana kuwaamsha walimu kila mmoja akiahidi kufundisha kwa bidii ili kupata nafasi hiyo.

Akizungumza leo Julai 16 katika kikao cha tathimini ya elimu mkoani humo kilichohusisha wadau wa sekta hiyo ikiwa ni kupongeza matokeo mazuri ya kidato ch sita yaliyotangazwa hivi karibuni, Homera amesema watatoa ofa kwa walimu 10 kwenda Dubai.

Amesema kutokana na matokeo mazuri yaliyopatikana mwaka huu, Dubai ndio sehemu nzuri kwa mapumziko akieleza kuwa ofa hiyo itahusisha walimu wa shule za Serikali huku za binafsi kamati itakaa kujadili zawadi.

Amesema kwa sasa Mbeya ipo katika ramani nzuri kielimu, inazidiwa na mkoa mmoja tu (hajautaja) akieleza kuwa mkakati ni kushika nafasi ya kwanza akiwatia moyo walimu kuwa inawezekana.

"Wakati nafika hapa Mbeya tulikuwa nafasi hazijulikani, lakini kwa sasa matokeo yetu hayana sifuli, tuna daraja la kwanza 4,047, la pili 2726 daraja la tatu 487 na nne ni tano, niwapongeze walimu kwa kazi nzuri.

"Niagize kila halmashauri yenye uwezo inaweza kuwapa zawadi shule zilizofanya vizuri na mwakani walimu 10 ikiwa watano shule za msingi na watano sekondari tutawapeleka Dubai katika hoteli ya nyota tano wakirudi wawe wamebadilika kwa kuongea Kiingereza," amesema Homera.
 
Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera kuwapeleka walimu 10 wa shule za msingi na sekondari Dubai kwa watakaofanikisha ufaulu mwakani, imeonekana kuwaamsha walimu kila mmoja akiahidi kufundisha kwa bidii ili kupata nafasi hiyo.
Hamuwajui wanasiasa
Faulisheni mje muambiwe hayo ndiyo majukumu yenu
 

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera kuwapeleka walimu 10 wa shule za msingi na sekondari Dubai kwa watakaofanikisha ufaulu mwakani, imeonekana kuwaamsha walimu kila mmoja akiahidi kufundisha kwa bidii ili kupata nafasi hiyo.

Akizungumza leo Julai 16 katika kikao cha tathimini ya elimu mkoani humo kilichohusisha wadau wa sekta hiyo ikiwa ni kupongeza matokeo mazuri ya kidato ch sita yaliyotangazwa hivi karibuni, Homera amesema watatoa ofa kwa walimu 10 kwenda Dubai.

Amesema kutokana na matokeo mazuri yaliyopatikana mwaka huu, Dubai ndio sehemu nzuri kwa mapumziko akieleza kuwa ofa hiyo itahusisha walimu wa shule za Serikali huku za binafsi kamati itakaa kujadili zawadi.

Amesema kwa sasa Mbeya ipo katika ramani nzuri kielimu, inazidiwa na mkoa mmoja tu (hajautaja) akieleza kuwa mkakati ni kushika nafasi ya kwanza akiwatia moyo walimu kuwa inawezekana.

"Wakati nafika hapa Mbeya tulikuwa nafasi hazijulikani, lakini kwa sasa matokeo yetu hayana sifuli, tuna daraja la kwanza 4,047, la pili 2726 daraja la tatu 487 na nne ni tano, niwapongeze walimu kwa kazi nzuri.

"Niagize kila halmashauri yenye uwezo inaweza kuwapa zawadi shule zilizofanya vizuri na mwakani walimu 10 ikiwa watano shule za msingi na watano sekondari tutawapeleka Dubai katika hoteli ya nyota tano wakirudi wawe wamebadilika kwa kuongea Kiingereza," amesema Homera.
Tusubiri muda uongee. Labda Dumila na sio Dubai
 

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera kuwapeleka walimu 10 wa shule za msingi na sekondari Dubai kwa watakaofanikisha ufaulu mwakani, imeonekana kuwaamsha walimu kila mmoja akiahidi kufundisha kwa bidii ili kupata nafasi hiyo.

Akizungumza leo Julai 16 katika kikao cha tathimini ya elimu mkoani humo kilichohusisha wadau wa sekta hiyo ikiwa ni kupongeza matokeo mazuri ya kidato ch sita yaliyotangazwa hivi karibuni, Homera amesema watatoa ofa kwa walimu 10 kwenda Dubai.

Amesema kutokana na matokeo mazuri yaliyopatikana mwaka huu, Dubai ndio sehemu nzuri kwa mapumziko akieleza kuwa ofa hiyo itahusisha walimu wa shule za Serikali huku za binafsi kamati itakaa kujadili zawadi.

Amesema kwa sasa Mbeya ipo katika ramani nzuri kielimu, inazidiwa na mkoa mmoja tu (hajautaja) akieleza kuwa mkakati ni kushika nafasi ya kwanza akiwatia moyo walimu kuwa inawezekana.

"Wakati nafika hapa Mbeya tulikuwa nafasi hazijulikani, lakini kwa sasa matokeo yetu hayana sifuli, tuna daraja la kwanza 4,047, la pili 2726 daraja la tatu 487 na nne ni tano, niwapongeze walimu kwa kazi nzuri.

"Niagize kila halmashauri yenye uwezo inaweza kuwapa zawadi shule zilizofanya vizuri na mwakani walimu 10 ikiwa watano shule za msingi na watano sekondari tutawapeleka Dubai katika hoteli ya nyota tano wakirudi wawe wamebadilika kwa kuongea Kiingereza," amesema Homera.
Nilidhani anawaongezea mishahara au madaraja au kuwanunulia viwanja. Kwa hiyo wakienda Dubai wakirudi wanawalisha watoto wao Maghorofa au? Kama ni mke wa mtu mume wake akimkatalia je? Wapeni vitu vyenye faida. Watangazeni wafanyakazi Bora mei mosi wapewe chao wajue wanatumiaje basi. Acheni hoja za anasa maisha magumu. Halafu vigezo gani vitatumika kuwapata au ndo mtoto wa Shangazi, Mjomba, Ma mdogo au Wana CCM maana ndo zao. Wananchi wa leo siyo wa 1947.
 
Ujinga plus upumbavu huo!!

Anatakiwa amwambie Rais walimu ambao ndio watendaji wakuu wapewe posho za ufundishaji kama maaskari,wakuu was shule,maafisa elim kayak etc!

Mbona mwinyi kawapa posho ya usafiri kule Zanzibar!!?
 

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera kuwapeleka walimu 10 wa shule za msingi na sekondari Dubai kwa watakaofanikisha ufaulu mwakani, imeonekana kuwaamsha walimu kila mmoja akiahidi kufundisha kwa bidii ili kupata nafasi hiyo.

Akizungumza leo Julai 16 katika kikao cha tathimini ya elimu mkoani humo kilichohusisha wadau wa sekta hiyo ikiwa ni kupongeza matokeo mazuri ya kidato ch sita yaliyotangazwa hivi karibuni, Homera amesema watatoa ofa kwa walimu 10 kwenda Dubai.

Amesema kutokana na matokeo mazuri yaliyopatikana mwaka huu, Dubai ndio sehemu nzuri kwa mapumziko akieleza kuwa ofa hiyo itahusisha walimu wa shule za Serikali huku za binafsi kamati itakaa kujadili zawadi.

Amesema kwa sasa Mbeya ipo katika ramani nzuri kielimu, inazidiwa na mkoa mmoja tu (hajautaja) akieleza kuwa mkakati ni kushika nafasi ya kwanza akiwatia moyo walimu kuwa inawezekana.

"Wakati nafika hapa Mbeya tulikuwa nafasi hazijulikani, lakini kwa sasa matokeo yetu hayana sifuli, tuna daraja la kwanza 4,047, la pili 2726 daraja la tatu 487 na nne ni tano, niwapongeze walimu kwa kazi nzuri.

"Niagize kila halmashauri yenye uwezo inaweza kuwapa zawadi shule zilizofanya vizuri na mwakani walimu 10 ikiwa watano shule za msingi na watano sekondari tutawapeleka Dubai katika hoteli ya nyota tano wakirudi wawe wamebadilika kwa kuongea Kiingereza," amesema Homera.
think tank ya CCM, hawa uwezo wao ni sawa na Mbuzi
 
Back
Top Bottom