Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 821
Polen wlmu, (cwt) inakusanya
sh bil2.2 kw mwez kutoka ktk
mishahara yenu, na kwa mwaka
ni kiasi gani? Cwt haikaguliwi
na c.a.g mahesabu yake ,
wabunge wana shaka juu ya
viongozi wa chama
kujinufaisha , walm wapya
wanakatwa makato bila
kujulishwa, mkistaafu cwt
haijaeleza wanachama
watanufaika vipi,je ni haki
Chukueni hatua mapema,
wenzenu wanajenga ,
wananunua magari ya kifahari
kwa ajili ya mishahara ya
waalimu.
Walimu wandai hawakuomba uanachama na wala hawna kadi za uanachama ila wanalipishwa ada ya uanachama KINGUVU. Samaki mzee kazini ankula tusamaki tulitozaliwa leo kazini....!!
sh bil2.2 kw mwez kutoka ktk
mishahara yenu, na kwa mwaka
ni kiasi gani? Cwt haikaguliwi
na c.a.g mahesabu yake ,
wabunge wana shaka juu ya
viongozi wa chama
kujinufaisha , walm wapya
wanakatwa makato bila
kujulishwa, mkistaafu cwt
haijaeleza wanachama
watanufaika vipi,je ni haki
Chukueni hatua mapema,
wenzenu wanajenga ,
wananunua magari ya kifahari
kwa ajili ya mishahara ya
waalimu.
Walimu wandai hawakuomba uanachama na wala hawna kadi za uanachama ila wanalipishwa ada ya uanachama KINGUVU. Samaki mzee kazini ankula tusamaki tulitozaliwa leo kazini....!!