Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 821
Polen wlmu, (cwt) inakusanya
sh bil2.2 kw mwez kutoka ktk
mishahara yenu, na kwa mwaka
ni kiasi gani? Cwt haikaguliwi
na c.a.g mahesabu yake ,
wabunge wana shaka juu ya
viongozi wa chama
kujinufaisha , walm wapya
wanakatwa makato bila
kujulishwa, mkistaafu cwt
haijaeleza wanachama
watanufaika vipi,je ni haki
Chukueni hatua mapema,
wenzenu wanajenga ,
wananunua magari ya kifahari
kwa ajili ya mishahara ya
waalimu.
Walimu wandai hawakuomba uanachama na wala hawna kadi za uanachama ila wanalipishwa ada ya uanachama KINGUVU. Samaki mzee kazini ankula tusamaki tulitozaliwa leo kazini....!!
umetumwa nini na ccm ili kuiua CWT,waalimu wakose mshikamano?wewe ulitakiwa utoe mapendekezo ili chama kiboreshwe kiwanufaishe waalimuPolen wlmu, (cwt) inakusanya
sh bil2.2 kw mwez kutoka ktk
mishahara yenu, na kwa mwaka
ni kiasi gani? Cwt haikaguliwi
na c.a.g mahesabu yake ,
wabunge wana shaka juu ya
viongozi wa chama
kujinufaisha , walm wapya
wanakatwa makato bila
kujulishwa, mkistaafu cwt
haijaeleza wanachama
watanufaika vipi,je ni haki
Chukueni hatua mapema,
wenzenu wanajenga ,
wananunua magari ya kifahari
kwa ajili ya mishahara ya
waalimu.
Walimu wandai hawakuomba uanachama na wala hawna kadi za uanachama ila wanalipishwa ada ya uanachama KINGUVU. Samaki mzee kazini ankula tusamaki tulitozaliwa leo kazini....!!
umetumwa nini na ccm ili kuiua CWT,waalimu wakose mshikamano?wewe ulitakiwa utoe mapendekezo ili chama kiboreshwe kiwanufaishe waalimu
Mbona huzungumzii kodi ya(INCOME) inayokatwa kila mwezi na mafisadi? unajua serikali inawakata walimu kiasi gani kila mwezi bila huruma kwenye tumishahara tudogo? mbona husemi kauli ya dharau kwa waalimu iliyotolewa na kiranja mkuu mwaka 2010? CWT ni chama chetu waalimu na kama una mpango wa kukiua uache mara moja. Serikali inaongeza kodi kila kukicha sasa ili kutupoteza mnaibua hoja kuilaumu CWT. Mfanyabiasha mweye kipato zaidi ya mil10 kwa mwaka analipa kodi dogo kuliko mwalim wa kipato cha m3 kwa mwako,haki ipo wapi hapo. Remember when you give out the prescription don't forget to provide direction. lazima utakuwa umetumwa ww.
Watanzania kwa kulalamika bwana! Hivi wewe unayelalamika, unakatwa shilingi ngapi zinazokutoa roho? Usingekatwa hizo ungezitumiaje kama sio kunywea pombe? Sasa mnataka kutuaminisha kuwa CWT hawafanyi lolote?
wAALIMU WA TANZANIA UPUMBAVU MMEZIDI(BAADHI YENU), HIVI NI KWELI HAMUONI KAZI YOYOTE INAYOFANYWA NA CWT? KWELI CCM IMEWAGAWA MKOSE UMOJA ILI IWATAWALE, HIYO 2% NDIO MNATOA POVU HIVYO?