Suala la ufundishaji ni lazima lifuate utaratibu.Na moja ya utaratibu ni kuandaa azimio na Andalio la somo(Lesson Plan)
Kwahiyo kutumia au kutotumia andalio la somo kutategemea matakwa au umahiri wa mwalimu.Tukumbuke kuwa "Teaching is a sciencé" na pia "Teaching is an art"