Nakubaliana na wewe, binafsi waliniibia nikiwa safari, wakavunja mlango wa ndani wakahama na vyote kama vyao....1. Ndugu zetu wafugaji wamejipambanua kwa kazi za ULINZI, USUSI na kuuza dawa asili Sasa kuwaajiri hawa rafiki zetu bila mkataba Wala.mafunzo Ni mtihani na hatari Kwa usalama wako. Anaweza kukutaka kichwa bila kuuliza yeyote.
2. Zaidi wapo wanaojihusisha mapenzi ya Jinsia moja bila kinga Wala tahadhari kwa ujira kidogo Sana. Chukwani wamepanga ghetto wakisubiri wazungu tu
Wanatoa kwa mpalange kwa dola mia.Mbna sijaelewa kilichoandikwa