DOKEZO Walinzi Kampuni ya Asgard Security hatujalipwa mishahara kwa miezi miwili, tukifuatilia uongozi unatishia kutufuta kazi

DOKEZO Walinzi Kampuni ya Asgard Security hatujalipwa mishahara kwa miezi miwili, tukifuatilia uongozi unatishia kutufuta kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.

machululu

Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
7
Reaction score
2
Mimi ni Askari wa ulinzi kutoka Kampuni ya Asgard Security Company Limited yenye ofisi zake makao makuu Kinyerezi DSM, malalamiko yangu ni kuwa hatujalipwa mishahara yetu wa miezi miwili na ninawawakilisha Wafanyakazi wenzangu kadhaa wa malindo ya nje.

Kwamba suala la kulipwa limekuwa likipigwa danadana kila ifikapo tarehe ya malipo, na mkataba hakuna, na tabia hii imekuwa ndo desturi ya kampuni kuchelewa kulipa na kufululiza miezi miwili bila malipo, ukiuliza sana unaambiwa uache kazi kwa kigezo kuwa watu wapo wanahitaji kazi.

Ukilalamika sana unatishiwa kufukuzwa na ukiacha kazi malipo yako hawakulipi tena.

===================

JamiiForums imewasiliana na Asgard Security Company Limited kuhusu hoja ya Mdau, taarifa imepokelewa na wameahidi kuifikisha kwa Mamlaka husika ambayo itatoa mrejesho.


Pia soma:
~
Kampuni ya China Tanzania Security yafafanua madai ya Walinzi wa Vituo vya Mwendokasi kutolipwa mishahara ya miezi mitatu

~ Walinzi tunaosimamia Vituo vya Mwendokasi hatujalipwa mshahara kwa miezi mitatu, tukifuatilia tunapigwa danadana

~ Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi
 
Mimi NI askari wa ulinzi kutoka kampuni ya Asgard Security company yenye ofisi zake makao makuu Kinyerezi DSM, na malalamiko yangu ni kuwa hatujalipwa mishahara yetu wa miezi miwili na ninawawakilisha wafanyakazi wenzangu kadhaa wa malindo ya nje

Kwamba suala la kulipwa limekuwa likipigwa danadana kila ifikapo tarehe ya malipo, na mkataba hakuna, na tabia hii imekuwa ndo desturi ya kampuni kuchelewa kulipa na kufululiza miezi miwili bila malipo, na ukiuliza sana unaambiwa uache kazi kwa kigezo kuwa watu wapo wanahitaji kazi. Ukilalamika Sana unatishiwa kufukuzwa, na ukiacha kazi malipo yako hawakulipi tena.

Pole sana.

Hivi huwa mna chama cha kutetea maslahi ya walinzi kwenye hizo kampuni za binafsi? Kama kipo mjaribu pia kuwashirikisha.

Je wanapochelewesha malipo ya stahiki zenu mnapewa sababu zipi za kuchelewesha?

Baadhi ya taasisi za binafsi (private) zina hiyo tabia ya kuchelewesha stahiki za wafanyakazi na ukidai majibu ni vitisho.
 
Mimi NI askari wa ulinzi kutoka kampuni ya Asgard Security company yenye ofisi zake makao makuu Kinyerezi DSM, na malalamiko yangu ni kuwa hatujalipwa mishahara yetu wa miezi miwili na ninawawakilisha wafanyakazi wenzangu kadhaa wa malindo ya nje

Kwamba suala la kulipwa limekuwa likipigwa danadana kila ifikapo tarehe ya malipo, na mkataba hakuna, na tabia hii imekuwa ndo desturi ya kampuni kuchelewa kulipa na kufululiza miezi miwili bila malipo, na ukiuliza sana unaambiwa uache kazi kwa kigezo kuwa watu wapo wanahitaji kazi. Ukilalamika Sana unatishiwa kufukuzwa, na ukiacha kazi malipo yako hawakulipi tena.
Mnalipwa shingap mshahara mkuu
 
Poleni sana, hamna chama chenu cha kuwatetea katika shida kama hizi? Katika Dunia ya Leo kufanya kazi bila mikataba ni JANGA maana hat mkienda Kwa court bila mikataba Asubuhi kweupe mnashindwa kesi
Mimi NI askari wa ulinzi kutoka kampuni ya Asgard Security company yenye ofisi zake makao makuu Kinyerezi DSM, na malalamiko yangu ni kuwa hatujalipwa mishahara yetu wa miezi miwili na ninawawakilisha wafanyakazi wenzangu kadhaa wa malindo ya nje

Kwamba suala la kulipwa limekuwa likipigwa danadana kila ifikapo tarehe ya malipo, na mkataba hakuna, na tabia hii imekuwa ndo desturi ya kampuni kuchelewa kulipa na kufululiza miezi miwili bila malipo, na ukiuliza sana unaambiwa uache kazi kwa kigezo kuwa watu wapo wanahitaji kazi. Ukilalamika Sana unatishiwa kufukuzwa, na ukiacha kazi malipo yako hawakulipi tena.
 
Poleni sana, hamna chama chenu cha kuwatetea katika shida kama hizi? Katika Dunia ya Leo kufanya kazi bila mikataba ni JANGA maana hat mkienda Kwa court bila mikataba Asubuhi kweupe mnashindwa kesi
Hamna mkataba mkuu ni ile tunafanya tu kazi kwa mazoea
 
Pole sana.

Hivi huwa mna chama cha kutetea maslahi ya walinzi kwenye hizo kampuni za binafsi? Kama kipo mjaribu pia kuwashirikisha.

Je wanapochelewesha malipo ya stahiki zenu mnapewa sababu zipi za kuchelewesha?

Baadhi ya taasisi za binafsi (private) zina hiyo tabia ya kuchelewesha stahiki za wafanyakazi na ukidai majibu ni vitisho.
Hatuna chama chochote cha kutetea maslahi ya wafanyakazi, boss anasema na wao hawajlipw na kampuni ambazo tunazosimamia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom