plock JF-Expert Member Joined May 20, 2016 Posts 446 Reaction score 474 Oct 12, 2016 #101 Kama habari ni ya kingereza siku nyingine na kichwa cha habari kikiwa lugha sawa inakuwa poa unajiandaa kusoma kirengeza
Kama habari ni ya kingereza siku nyingine na kichwa cha habari kikiwa lugha sawa inakuwa poa unajiandaa kusoma kirengeza
Tua Ngoma JF-Expert Member Joined Apr 14, 2015 Posts 3,185 Reaction score 8,294 Oct 13, 2016 #102 Iceman 3D said: Imefika stage Kiba ana fananishwa na Lipumba Maana wale jamaa wakimuita "that man" maana yake "bwana yule" Daaaah!! Maskin Kiba Cc Tua Ngoma Ahsante mkuu kwa idea Click to expand... Ahahahahha wamarekani sio watu wa mchezo mchezo yaani wameona king na propesa pumba ni ndugu.
Iceman 3D said: Imefika stage Kiba ana fananishwa na Lipumba Maana wale jamaa wakimuita "that man" maana yake "bwana yule" Daaaah!! Maskin Kiba Cc Tua Ngoma Ahsante mkuu kwa idea Click to expand... Ahahahahha wamarekani sio watu wa mchezo mchezo yaani wameona king na propesa pumba ni ndugu.
Iceman 3D JF-Expert Member Joined Sep 3, 2016 Posts 20,611 Reaction score 67,094 Oct 13, 2016 #103 Tua Ngoma said: Ahahahahha wamarekani sio watu wa mchezo mchezo yaani wameona king na propesa pumba ni ndugu. Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Eeeh Wote ni ving'ang'anizi , wakaona jina la bwana yule lina mfaa hadi anaye ng'ang'ania wiz kid a perfom kabla yake eti yeye ndio msanii mkubwa
Tua Ngoma said: Ahahahahha wamarekani sio watu wa mchezo mchezo yaani wameona king na propesa pumba ni ndugu. Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Eeeh Wote ni ving'ang'anizi , wakaona jina la bwana yule lina mfaa hadi anaye ng'ang'ania wiz kid a perfom kabla yake eti yeye ndio msanii mkubwa