Walinzi Wa Nabii Mwingira Wakata Masikio Wananchi Rukwa Shamba la Milonje

KING COBRA

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
2,782
Reaction score
875
Bi Nuru Togwa(30) alikamwatwa na walinzi wa Nabii Mwingira baada ya kupita karibu na Shamba hilo na kupelekwa katika kambi yao na kukatwa Masikio yote mawili na kunajisiwa.

Bi Alesi Maarifa (77) naye alikamatwa na kuunguzwa na upanga wa moto sehemu za Siri na hadi leo matukio hayo yanaendelea:

Source: Gazeti ,Raia mwema ya Leo.

[h=2]Tuesday, December 27, 2011[/h]
















Rais Jakaya Kikwete akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa kiongozi wa kanisa la Efatha nchini, Mtume na Nabii, Josephat Mwingira katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Maendeleo wa Mkoa wa Rukwa iliyoongozwa na Rais kwenye hoteli ya Kilimanjaro- Kempinski jijini Dar May 27, 2009. Zaidi ya shilingi bilioni 1.4 zilichangwa,Katikati ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
 
hawa wachungaji wetu wa siku hizi! mali mbele tu. he is responsible kwa watu walio chini yake na unaweza kuta hao walinzi ni waumini wake pia
 
Mwingira umetanguliza mali mno mpaka unapoteza Moral Authority. Tangu mwaka huu uanze haya yote ni yako huoni aibu!


 

Mola, kweli haya yapo na hakuna wa kumchukulia hatua? Haki za binadamu hapa Tanzania zipo? Hebu kina TAMWA, na TNGP, na Mama Bisimba shughulikieni hili jambo. Halafu yule Engineer Mkuu wa Mkoa Manyanya alikuwepo juzi akishuluhisha or what na hakuna la maana lenye utekelezaji alililotamka zaidi ya kuacha tatizo kwa uongozi wa serikali ya kijiji ambao umeshindwa kutatua tatizo!!! Kweli engineer na Siasa!!! Hivi vigezo vya kuteuzi wa wakuu wa wilaya na mkoa vinazingatia nini?
 
hawa wachungaji wetu wa siku hizi! mali mbele tu. he is responsible kwa watu walio chini yake na unaweza kuta hao walinzi ni waumini wake pia
acheni ujinga, where is the connection between walinzi wa kifipa wanaolinda shamba la kanisa la efatha kule sumbawanga/rukwa na Mwingira? yeye alikuwepo wakati hayo yanatokea? any proof anyway?.....kama yeye alikuwa zake hapa dsm anahubiri walinzi wa shamba lake kule wakafanya hivyo sasa mbona mnaanza kumlaumu yeye utafikiri mwingine personally ndo alifanya hivyo?...na je? kuna ushahidi wowote? peleka polisi basi....na sidhani kama polisi wana urafiki wowote na mwingine kwasababu siku zote anagombanana nao hapo mwenge hadi walikamata wafuasi wake karibia hamsini na kuwaweka ndani kwa suala la kile kiwanja nje ya jengo lake.....kama mwingira amefanya makosa yeye binafsi ndo muongee kwa kumlaumu yeye na kanisa lake pengine, lakini kama watu binafsi vibarua wanaolinda shama lake wamefanya hivyo kama mna ushahidi basi kawalaumuni wale wale....kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe...unless una chuki binafsi na mwingine/efatha...
 

naona umeanza na kashfa, kiongozi wa dini anawajibika kuchagua watu makini katika kazi zake na pia mara nyingi wanakuwa watumishi wa kanisa lake.mfano rahisi ni shule za st. marys ambapo watumishi wengi ni waumini wake. na hii si mara ya kwanza kumkuta mwingira, kumbuka waumini wake walipovamia kile kiwanda walipokurupushwa na polisi wakakimbilia church wakajifanya wanasali, alipovunja nyumba za watu kule kerege kwa kutumia mabaunsa
 

mungu ibariki Tanzania
 
Wabongo kwa kufuata maneno ya magazeti hatujambo...especially vichwa vya habari....kuna maneno katika moja ya habari eti wameandika waumini wa kanisa la Efatha Foundation...hivi kweli kuna kanisa lenye hilo jina jamani!
 
Efatha Ministry muangalizi mkuu ni Apostle and Prophet J.E.Mwingira,
Efatha Bank ni chombo cha fedha chini ya hii huduma lakini kina bodi ya wadhamini (trustees) ambao ndio wafanya maamuzi.
Heritage Insurance ni chombo cha bima chini ya Efatha foundation
Heritage Farm, Sumbawanga ni moja ya miradi ya Efatha foundation kwenye kilimo.
Efatha seminary ni shule ya sekondari chini ya Efatha foundation.
EFATHA maana yake ni funguka.
 
duh! huyu jamaa inabidi afuatilie hao watu anao waajiri...
 
Nafukua makaburi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingira umetanguliza mali mno mpaka unapoteza Moral Authority. Tangu mwaka huu uanze haya yote ni yako huoni aibu!
Ila aliposifia jamaa zetu haya yote yakasaulika! Chadema bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…