Walinzi wa Rais Mwinyi wamenikumbusha enzi ya awamu ya tano huku bara

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Rais Mwinyi wa Zanzibar ana ulinzi wenye madoido na wa aina yake. Amenikumbusha enzi ya awamu ya tano chini ya hayati John Pombe Magufuli. Hongera sana Rais Mwinyi!
 
Mbwembwe zisizo na maana yoyote zaidi ya maigizo. Ulimwengu wa Leo ulinzi ni teknolojia na weledi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…