Walinzi wa serikali wakiondoka nyumbani kwa aliyekuwa waziri mkuu wa Uganda


Ikisikika nyuma geuka wa mwisho amekuwa wa kwanza
 
Hilo jumba kama sio la serikali ni zuri sana, mwenye picha ya nyumba ya museven atuwekee.
 
Waweza kuta hata aka kamatwa kwa kosa la uzembe na uzururaji, ili mladi tu wa deal naye perpendicularly

Ha ha aaa au kutumia ishara zisizo rasmi zenye kuelekea uvunjifu wa amani (ngumi) mbele ya watawaliwa ilhali akiwa ni kiongozi hivyo ni matumizi mabaya ya ofisi na madaraka!!!!
 
Huyu Mhe. Anaonekana ana uzoefu mkubwa wa serikalini na jeshini, lakini, ameshindwa kufaulu somo la kumtambua Museveni.
^^

Hebu nipe tano , inaonekana wasoma alama za nyakati walimpa uelekeo wrong , so kaingia chaka lenye miba mingi (thick thorn forest) xana.
 

Attachments

  • ug24.jpg
    36.3 KB · Views: 307
  • ug17.jpg
    19.5 KB · Views: 302
Na ndiyo maana wanasiasa wengi ni wanafiki siku zote, wanacheka hata pasipochekesha wanapiga makofi pasipotakiwa ili mradi kuonekana kama mmoja wao.

kweli mkuu, yaani wanakuwa wanajifanya kuwa wanapendana kumbe dk 0 tu wanazenguana na kutoana mpera mpera hadi aibu.
 
Ha ha aaa au kutumia ishara zisizo rasmi zenye kuelekea uvunjifu wa amani (ngumi) mbele ya watawaliwa ilhali akiwa ni kiongozi hivyo ni matumizi mabaya ya ofisi na madaraka!!!!

Hata nami ninaona ....
 
Hilo jumba kama sio la serikali ni zuri sana, mwenye picha ya nyumba ya museven atuwekee.

Inaweza kuwa hii hapa .....ukiacha Palace.
 

Attachments

  • muu1.jpg
    51.4 KB · Views: 321
  • muu2.jpg
    36.4 KB · Views: 308
Kwangu hili ni fundisho,kama alitumika kuwakandamiza wenzake akina Kiiza B,na sasa wakati wake umefika.
Waliopo madarakani Wakumbuke kuwa wakiyatumia vibaya madaraka hayo kuwafanyia wenzao visa huu ni ujumbe kwao kuwa
MWOSHA NAYE HUOSHWA.
 
Kwangu hili ni fundisho,kama alitumika kuwakandamiza wenzake akina Kiiza B,na sasa wakati wake umefika.
Waliopo madarakani Wakumbuke kuwa wakiyatumia vibaya madaraka hayo kuwafanyia wenzao visa huu ni ujumbe kwao kuwa
MWOSHA NAYE HUOSHWA.

Mweee.....mweeee......
 

Attachments

  • www.jpg
    29.7 KB · Views: 308
  • www2.jpg
    24 KB · Views: 306
Kiongozi hii ndio AFRICA wakati huku mitaani tunadhani kung"ang"ania Mamlakani nikutokana na kutaka PESA lkn kunazaidi ta Pesa manake mtu km M7 na Genge lake cdhani km wanashida ya Pesa,,,!!

Umeona enheeee.... hebu nipe gwara
 

Attachments

  • www1.jpg
    45.8 KB · Views: 381
Hivi katiba ya ug inasemaje kuhusu kugombea urais
 
M7 uganda ni urithi wake kutoka kwa babu. Hii ndiyo aina ya viongozi tulio nao afrika.
 
Hakuna cha ajabu hapo kazi imeisha kama nyingine tuu,nashangaa watu mnavyofanya big deal..he was not a PM for life,time imefika he must go wengine watakuja,Africans mnawaza ulaji tuu kazi imeisha basi mnafikiri life is over for him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…