Kiongozi hii ndio AFRICA wakati huku mitaani tunadhani kung"ang"ania Mamlakani nikutokana na kutaka PESA lkn kunazaidi ta Pesa manake mtu km M7 na Genge lake cdhani km wanashida ya Pesa,,,!!
M7 uganda ni urithi wake kutoka kwa babu. Hii ndiyo aina ya viongozi tulio nao afrika.
Wakiondoka madarakani zinakata Mzee. Kumbuka wamezipatia huko kiulani sana. Isitoshe hawawezi kujua atakaefata atawafanyia nn coz hela zao ni za kupiga. So wanaendelea kuwepo kulinda walichochuma isivyo halali.
Huyu kutaka kugombea urais 2016 kumemponza
M7 alitinga madarakani niko form one, ie 1986. Yaani Uganda nzima hamna mwingine zaidi yake. Pmbavu zake anakuja kuondoka kama swaiba yake gadafi.
Wakiondoka madarakani zinakata Mzee. Kumbuka wamezipatia huko kiulani sana. Isitoshe hawawezi kujua atakaefata atawafanyia nn coz hela zao ni za kupiga. So wanaendelea kuwepo kulinda walichochuma isivyo halali.
Muosha huoshwa,
Hawa Bahima waache wanyoshane. Wametoka mbali sana. Juzijuzi hapa 1998 walikuwa wanaiba Congo na kufagiliana sana. Mseveni, Mbambazi, Saleh (kaka yake mseveni) na Kazini. Na wenzao akina JJ Odong na Aronda (huyu aliyepelekwa serikalini kuhakikisha na wanayarwanda wanapewa vitambulisho vya uraia wa uganda).Wakaja wakatofautiana.
Wakasuka mpango wakamzunguka Kazini wakamtanguliza mbele za Haki. Wakaendelea, mwaka juzi wakataka wamtangulize mbele za haki Sejusa akashituka akakimbilia ulaya. Sasa Mseveni anataka kumtanguliza Mbambazi.
Itoshe kusema waliingia msituni viongozi 18. Mseveni ameongoza kwa kuwatanguliza mbele za haki wenzio sasa wamebaki sijui 5 hivi.
Mbambazi yeye anapinga sana MHOZA project anataka yeye awe rais na si Mhuza. Ndoo chanzo cha bifu lao.
Ukiwa kwenye Ground huwezi kuona makosa ya mchezo,,,!!