Jum Records
JF-Expert Member
- Jun 30, 2014
- 547
- 554
Licha ya hii kazi kua na ujira mdogo, Pia ina changamoto kubwa sana... Mimi pamoja na Elimu yangu ya chuo kikuu(science) nafanya kazi hii..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana mkuu....Kazi ni Kazi.
Muhimu Mkono unaenda Kinywani
Kama hamuwachi vitanda vyenu vyenye joto usiku. Sawa hamhusikiNadhani JWTZ hatuhusiki hapa
Kazi moja poa sana hiyo hasa ukiwa mlinzi wa mochwari... Usiku unapiga pesa mchana unakula bata bataniLicha ya hii kazi kua na ujira mdogo, Pia ina changamoto kubwa sana... Mimi pamoja na Elimu yangu ya chuo kikuu(science) nafanya kazi hii..
Kulinda Mochwari lazima kidogo akili uifyatue kwa pombe au hata bangi.... hivi hivi hapana aiseeKazi moja poa sana hiyo hasa ukiwa mlinzi wa mochwari... Usiku unapiga pesa mchana unakula bata batani
We lazima unawatafuuuna (in nabii Tito's voice)Nipo hapa kamanda. Nalinda Hospital. Uzuri uhusiano wangu na manesi wa night shift mzuri
Hapana Mkuu.... Mi na mambo hayo mbali mbali! Wale huwa waoga, so Mi nawalinda tu usiku!We lazima unawatafuuuna (in nabii Tito's voice)
Hahaha sawaHapana Mkuu.... Mi na mambo hayo mbali mbali! Wale huwa waoga, so Mi nawalinda tu usiku!
Wee mochwari na bangi ni hasi na chanya... Weka mbali n watotoKulinda Mochwari lazima kidogo akili uifyatue kwa pombe au hata bangi.... hivi hivi hapana aisee
Basi mkuu itabidi Bapa lihusike.. mimi ni mbishi ila hapo kwa mochwari nakua mdogoWee mochwari na bangi ni hasi na chanya... Weka mbali n watoto
Unalinda bahari Kawe Beach wenzako wanavua MsasaniLicha ya hii kazi kua na ujira mdogo, Pia ina changamoto kubwa sana... Mimi pamoja na Elimu yangu ya chuo kikuu(science) nafanya kazi hii..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi mkuu itabidi Bapa lihusike.. mimi ni mbishi ila hapo kwa mochwari nakua mdogo
Imekuaje hatujawahi onana kazini?Mimi ni TISS