Walio apply udzm 2012 soma hapa

Duh! hii ndo Tanganyika maumivu kila mahali kwenye mwili
 
sijui wapi kutakua na unafuu daaah!!!

kaka we kama ulijaza 1st or 2nd choice jua umechaguliwa kesho nitakuchekia ur name..c'unajua tena tena mi niliijaza 4th choice dats why nimeachwa
 
Presha 100% wadau kama ni kweli bac huu ni mwaka wa tabu,vp jamani za sua design kama ya agribusiness vile.
 
Presha 100% wadau kama ni kweli bac huu ni mwaka wa tabu,vp jamani za sua design kama ya agribusiness vile.

100% total true mimi mwenyewe nategemea SUA coz ndo nilijaza 1st choice and 2nd choice yaani ni ful preshaaa !! Jamani mwenye tetesi za SUA atupe matokeo mambo yanaendaje uko !??
 
kaka ngoja nikuambie ukwel wewe kama umejaza kozi yoyote ya biashara but huna dv1 ya 8 jua ishakula kwako !!

kwa matokeo ya mwaka huu yalivyo mabaya,sidhani kama wanaweza kuchukua dv 1 tu kwenye bussness!
 
kwa matokeo ya mwaka huu yalivyo mabaya,sidhani kama wanaweza kuchukua dv 1 tu kwenye bussness!

kaka mimechek cutt-off za kozi za businez zinarange 12.5 up to 10.5 but 9.5 ni chache xana
 
kaka mi nimeapply ud course ya educaation nna point 8 vp hapo
 
kaka mimechek cutt-off za kozi za businez zinarange 12.5 up to 10.5 but 9.5 ni chache xana

mkuu,hizo cut off points huwa znaandikwa tu bt hazizingatiwi kivile,hapo udbs huwa wanachukua hadi dv 3.
 
civil engeneering wisho 8.5
Ming engeneering wisho 9.5..
Mwaka huu UDSM imechukua vichwa tu..

Inabidi akili iliyopevuka kusoma hizo course...na hata kwa hapo baadae cut point itakuwa ya juu sana kweye hizi coz kuipiku IT...time will tell
 
Whatever is excellence,coz nane na nzuri tulizichagua wenyewe so lazima tujue within kuna moja itajibu,lkn aisee inapain kupoteza 1 choice & 2.
 

bc hata m mambo yatakuwa c mazuri na cptr eng vp.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…