Wakuu heshima kwenu!
Kwanza nieleze heshima zangu kwa jukwaa hili la kiitelejensia naamini hapa akili hutumika na hakuna jambo hushindikana hapa. Tumesikia majina ya walio iba fedha bank ya mkombozi je walio kwapua fedha stanbic wapo wapi?
kina nani? kiasi gani?
Nyaronjo kicheere ni Great thinker. Ametangaza Jana kuwa anawajua lakini anahofia mwanae ni mdogo kidato cha Tatu anahofu nani atamlea Bhoke!
Je ni kina nani?
Nyaronjo ameelezea kuwa tumbiri wa kigoma wanawajua wezi hawa lakini hawajawataja eti wakidai "nchi itapasuka" je ni kina nani hawa? mwenye ripoti ya takukuru atutajie tuwajue hawa.
Karibuni!