aletas chamakeo
New Member
- Jul 14, 2019
- 3
- 2
Pacha pacha pacha...Nipo hapa....then 5/6 nikapiga hapo hapo Tambaza
Umesema wewe mimi nani hata nikubishieWhat? Mnafikiri Mimi nina30yrs?
Sawa hongeraNimesoma Tambaza form 1-6.....91-97
Mimi huwa siamkii, sikumbuki mara ya mwisho neno 'shikamoo' nililitamka lini😀 😀 uwe unaniamkia.
Kama nakupata form one nilikuwa Z ulikuwa darasa lipi mkuuNipo hapa....then 5/6 nikapiga hapo hapo Tambaza
Husemi kwa sababu hukuwepo hapo mwaka huoDuh ha ha ha sisemi dadadeki!
Hapana. I will compromise my privacy.Husemi kwa sababu hukuwepo hapo mwaka huo
Kama nakupata form one nilikuwa Z ulikuwa darasa lipi mkuu