Wananchi kwa ujumla wetu hatuwezi kukusanya Mapato wala kutunga sera,
Kuna watu tumewapa hiyo kazi wafanye kwa niaba yetu,
Tunachoweza kufanya ni,kuandamana,kama Arab uprising,tuanzishe southsahara desert Africa uprising,au black Africa uprising,tupindue nchi,au tulianzishe kama sudan