Waliobakwa na Sabaya washindwa kujitokeza kutoa ushahidi

Waliobakwa na Sabaya washindwa kujitokeza kutoa ushahidi

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
Baada ya mahakama kuita watu wenye ushahidi kuhusu tuhuma mbalimbali anazotuhumiwa nazo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya.

Bado mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyejitokeza mahakamani kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na Sabaya, licha ya kwamba watu walitarajia wana chadema wengi wangemiminika mahakamani kujieleza namna walivyobakwa maana ndiyo wamekuwa vinara wa kuzusha tuhuma hizo.
 
Acha uongo kesi ya ubakaji bado. Halafu kwa Sasa kesi yake ipo kwenye rufaa, kesinya Rufaa haina mashahidi. Mashahidi wapo kwenye trial.
Mmhh kwani kesi ya Rufaa ndiyo inayomfanya awe ndani brother?
 
Mbowe ameshindwa angalau kutengeneza mashahidi wa uongo? Asali ni mbaya sana
 
Saa MBILI usiku mwenzio JENERALI LENGAI OLE SABAYA alishalala kitambo baada ya filimbi ya kulala kupulizwa saa 12 jioni,cha kushangaza wewe saa 2 usiku unahangaika JF kufungua nyuzi za Sabaya,khaaaa[emoji1787][emoji1787]
Kama namuona vile alivyolala 🤣

IMG_20230130_214932.jpg
 
Ndiye aliyeinjinia mashitaka yote dhidi yake. Hujasikia kwamba hata mwendesha mashitaka ni waporti kwa mbowe?
Acha uongo bhana.....yaani Mbowe ndio kamtuma DPP...mbona alishindwa kuinjinia yeye mwenyewe asipewe kesi ya ugaidi ?

....kadanganye watoto wadogo.
 
Acha uongo bhana.....yaani Mbowe ndio kamtuma DPP...mbona alishindwa kuinjinia yeye mwenyewe asipewe kesi ya ugaidi ?

....kadanganye watoto wadogo.
Dpp Kweka ni mchaga mwenye chuki na Sabaya.
 
Back
Top Bottom