Jamani jana nimesikia kwenye redio kwa waliochaguliwa JWTZ kutakuwa na vipimo mbalimbali mmoja wapo ni yale matatizo yeu ya kuniga..kama utabahatika nkutakia kila la kheri na hata ukikosa kwa ajili ya vipimo Mungu anakupenda zaidi na anajua wapi utafaa nafasi nzuri ya kazi...pengine ukuependa kuukwaa lakiini moja ya mashrti yao mwenye mambo yetu wanamdis,,,nahisi hii kitu serikali waangalie upya
kila la kheri mwana JF aliechaguliwa na atakaepita bila kupingwa
Jamani jana nimesikia kwenye redio kwa waliochaguliwa JWTZ kutakuwa na vipimo mbalimbali mmoja wapo ni yale matatizo yeu ya kuniga..kama utabahatika nkutakia kila la kheri na hata ukikosa kwa ajili ya vipimo Mungu anakupenda zaidi na anajua wapi utafaa nafasi nzuri ya kazi...pengine ukuependa kuukwaa lakiini moja ya mashrti yao mwenye mambo yetu wanamdis,,,nahisi hii kitu serikali waangalie upya
kila la kheri mwana JF aliechaguliwa na atakaepita bila kupingwa
Hapa ujaelewa na wewe ndie unaelekza hivyo mkuu..ni kweli na wala siitaji kujua yangu..kama ombi lako..ila wanachofanya nakataa na si kuficha wakikuta unaumwa awakkuchukui na kuna vijana wawiliw waliwatosa last time kwa hili..nielewe usitake wanielewe kama unavyoelewa