Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano awamu ya pili kuna makosa mengi sana

ruhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
4,368
Reaction score
6,661
Mnamo tarehe 7 Julai, 2024 OR TAMISEMI waliweka taarifa kwenye tovuti yao kuhusiana na wanafunzi waliochanguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa awamu ya pili.

Ndani ya taarifa yao kwenye tovuti kuna attachment ya excel iliyoandikwa kichwa cha habari "WANAFUNZI WALIOBADILISHIWA SHULE".

Ukiangalia majina ya shule na halmashauri zilizopo kuna makosa mengi sana.

Swali langu, OR TAMISEMI attachment ni wanafunzi waliobandilishiwa shule au waliochanguliwa awamu ya pili?

Huwa hakuna kuhariri taarifa kabla ya kuweka kwenye tovuti?

Source: Tovuti ya OR TAMISEMI
 

Attachments

Iko wapi hio document?? Maana dogo langu alifaulu na amepangiwa shule hio hio alotoka o level
 
Iko wapi hio document?? Maana dogo langu alifaulu na amepangiwa shule hio hio alotoka o level
Nimefanya attachment tayari ya hiyo excel inayokinzana na title kwenye tovuti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…