ndo hvyo nimekosa ntmn bor hata nisingeomba vya ualimu
ndugu tuwekee link hiyo. kwa msaada tunakuombaAsante mungu nimechaguliwa nachingwea,jamani matokeo ninayo ila nashindwa kuyatoa kwenye pdf kama hamtojali nipost hivyo hivyo au taja jina nikuangalizie!
ndugu tuwekee link hiyo. kwa msaada tunakuomba
Kwa hao watakao soma mafunzo rekebishi ngazi ya cheti watasoma miaka mingapi? Anae jua atujuze wakuu
niangalizie Mussa rajabu kapongoAsante mungu nimechaguliwa nachingwea,jamani matokeo ninayo ila nashindwa kuyatoa kwenye pdf kama hamtojali nipost hivyo hivyo au taja jina nikuangalizie!
mmeshadata nyie
wakuu post bdo?