Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

Status
Not open for further replies.
Ni kweli ulichosema, ualimu kwa ngazi hizo ni kimbilio la kwetu sis maskini na matajir wenzetu walioshindwa maisha vyuo vikuu, ubarikiwe ndg!!
 

kwakwel inackitisha xn watoto wa matajir tyr wameenda prvte ila cc tulifaulu ila bdo tupo mtaan
 
Hapa kwenda chuo mwakani tu!
Kwa mliopo maeneo ya karb na vyuo waulizen hata wakuu wa vyuo maana hii si kawaida au majina yame liwa na virus ?
Suspended Domain
 
This account has been suspended, duuh wa st. kayumba hatujaelewa kitu kabisa
 
This account has been suspended, duuh wa st. kayumba hatujaelewa kitu kabisa

Usitu aibishe tuliosoma hzo st.Kayumba kama ulitoka hata English hujui ni ww sio shule.
Note:Education is not about knowldge but imagination.
 
Kwakweli sijawahi pata wakat mgumu kama sasa nilivyo kwani Wizara ya elimu website yao wamefunga post bado hawajatoa na bado haijajulikana mtu upo upande gani wakati application date mbalimbali zinazidi kuexpire inauma sana kwakweli nimekaa mtaani mwaka umekaribia kuisha.

Hivi watu wa Wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi wanaohusika hawawezi kutuonea huruma sisi tuliomaliza kidato cha nne na tuliofaulu ikiwa wenzetu tayari wapo shule.

Tafadhali mwenye tetesi anijulishe.
 

Hapa mwenye tetesi ni Mh. Shakuru Kawamba peke yake, tetesi zitoke wapi ndugu na moevt blog imefungwa. Lishakuru lenyewe linaulizwa kwenye account yake ya facebook hata halijibu, tutafanyaje ndugu yangu wenye shida ni sisi na watumishi wa moevt wanaenjoy na masofa ya kuzunguka kwenye maofisi yao ya kidosi wengine tunapigwa vumbi kitaa. Daa inaniuma sana kuzaliwa familia duni mimi....!
 

yaaaan kumbe wenye mawazo yanayofanana niweng lait ningekuwa na pesa ningekuwa nshaenda private
 
na wajue kabisa kuchagua kusomea ualimu was not ma wish ila tu ni uwezo wa familia yng ndo ulinilazmu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…