Waliochaguliwa na TCU kwenda Mzumbe

SuperNgekewa

Member
Joined
May 10, 2010
Posts
49
Reaction score
3
Mwenye kujua inakopatikana orodha ya wanafunzi waliochaguliwa na TCU kwenda Mzumbe University tafadhali atupashe.
 
Naona bado haijatoka mkuu

Hawa Mzumbe naona wako kama TCU tu: wanapenda mavuno lakini kuhangaikia kilimo hawataki. Vyuo vingine baada ya kuona jinsi TCU walivyo wazembe angalao wamejitahidi kutoa majina ya wanafunzi wao lakini Mzumbe ofisi ya Admissions naona wameenda kunywa komoni kwa Waluguru na hadi sasa hawajarudi ofisini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…