Waliodai Yesu anakuja wafungwa miaka minne

Keykey

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2006
Posts
3,251
Reaction score
747
Hawa jamaa kama kweli wana imani, ... ya Mungu wamwachie Mungu na ya Kaisari wampe Kaisari

 
Ukisikia manabii wa uongo waliotabiriwa ndio hao. Hata hiyo miaka nne walohukumiwa naona midogo.
 
Hii si mara ya kwanza Matukio kama haya kutokea duniani.

Hata katika kuanzishwa kwa ADVENTIST MOVEMENT(SABATO) kule marekani na mkulima mmoja aitwaye William Miller watua pia waliuza vitu wakaenda kumsubili Yesu mlimani aje mara ya pili.

William Miller kabla ya kuwa mkiristo wa madhehebu ya BAPTIST alikuwa mtu wa kawaida tena haamini nguvu za Mungu(Deist)= a person who believes that God created the universe but has not been actively involved since).

NAYE ALITABIRI MIEZI KAMA HIYO HIYO(TRH 21 MARCH 1843 HADI TRH 21 MARCH 1844) KAMA WALIVYOTABIRI WATU WA MBEYA KUWA YESU ANARUDI MARCH 31 MWAKA HUU.

soma hapa www.religioustolerance.org/sda.htm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…