waliofanya interview ERNST & YOUNG

joskill

Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
52
Reaction score
10
wakuu mimi ni mmoja wa watu waliofanya interview pale E&Y, nauliza hivi wameshaita tena?? mana naona kimya kingi, cjui kama wameshaita mara ya pili
 
Hukuambiwa kuwa ni wale waliofanikiwa tu ndio watakaoitwa?
 
kuna mtu aliwahi kufanya interview kwa hao jamaa na hana internal connection akaajiriwa?
 
consider yrself unsuccessful!, yr fellows demonstrated much than you. Try NIC there two vacancies fo auditors.
 
wa2 walishasaini hadi mikataba, you ar unseccessful candidate mkuu
 
Ukisikia paa! ujue imekukosa hiyo.
 
Kwa taarifa za uhakika ni kwamba mchakato ulishaisha. Na wananchi kama 30 wameshaajiriwa na mikataba wamesaini, training fupi ya kuanzia kazi wameshafanyiwa na wako field wanadunda mzigo. Kama ulifanya vizuri ujue kwamba nafasi zilikuwa chache kuliko watu kwa hiyo hukufanikiwa.
 

Duuuuuuuh. kila la kheri kwa waliopata......!
 
piga moyo konde..... wala usikonde, chonde chonde mmakonde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…