JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Idadi ya Watu waliofariki kutokana na mafuriko Nchini Pakistan sasa ni zidi ya 1,200 huku mvua zikiendelea kunyesha na kuathiri wengine Milioni 33.
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shahbaz Sharif ametembelea maeneo yaliyoathirika kuona uokoaji na misaada inavyoendelea kutolewa, wakati ambapo hali ya magonjwa ya kuharisha, ngozi na magonjwa ya macho yakiendelea kusambaa.
Kuandelea kwa mvua katika maeneo mengi Nchini humo ikiwemo katika Mji Mkuu wa Islamabad inamaanisha madhara yanaweza kuendelea kuwa makubwa zaidi.
==========================
Death toll from Pakistan floods passes 1,200 as more rain forecast
The death toll from floods in Pakistan has passed 1,200 - with more rain forecast over the next few days.
The floods have affected more than 33 million people, or one in seven Pakistanis, with satellite images showing the devastation caused by the flooding.
Aid has been pouring into the country and Prime Minister Shahbaz Sharif is visiting flood-hit areas to oversee rescue and relief activities.
Further rain is forecast across the country over the next few days, including the capital Islamabad, threatening to exacerbate the situation.
Health officials are reporting an outbreak of waterborne diseases in the flood-affected areas as authorities step up efforts to provide clean drinking water to hundreds of thousands of people who have lost their homes in the disaster.
Diarrhoea, skin diseases and eye infections are spreading at relief camps set up by the government.
Pakistan blames climate change for unusually early and heavy monsoon rains, which have caused flash floods since June.
Source: SKY
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shahbaz Sharif ametembelea maeneo yaliyoathirika kuona uokoaji na misaada inavyoendelea kutolewa, wakati ambapo hali ya magonjwa ya kuharisha, ngozi na magonjwa ya macho yakiendelea kusambaa.
Kuandelea kwa mvua katika maeneo mengi Nchini humo ikiwemo katika Mji Mkuu wa Islamabad inamaanisha madhara yanaweza kuendelea kuwa makubwa zaidi.
==========================
Death toll from Pakistan floods passes 1,200 as more rain forecast
The death toll from floods in Pakistan has passed 1,200 - with more rain forecast over the next few days.
The floods have affected more than 33 million people, or one in seven Pakistanis, with satellite images showing the devastation caused by the flooding.
Aid has been pouring into the country and Prime Minister Shahbaz Sharif is visiting flood-hit areas to oversee rescue and relief activities.
Further rain is forecast across the country over the next few days, including the capital Islamabad, threatening to exacerbate the situation.
Health officials are reporting an outbreak of waterborne diseases in the flood-affected areas as authorities step up efforts to provide clean drinking water to hundreds of thousands of people who have lost their homes in the disaster.
Diarrhoea, skin diseases and eye infections are spreading at relief camps set up by the government.
Pakistan blames climate change for unusually early and heavy monsoon rains, which have caused flash floods since June.
Source: SKY