Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Watu wote waliofunga Ramadhani na Pasaka Kisha walipofungua tu wakawekeza kufungua zipu, kulewa, kutenda matendo yasiyompendeza MUNGU naaomba kuwakumbusha kwamba mpijishindisha njaa. Endapo tu mngenyakuiwa mkiwa wenye Fung a mngeweza kwenda Mbinguni. Lakini rehema mliyopewa ya kuwepo hai Hadi mwisho wa funga inakufanya utambue kwamba jehanamu inakusubiri.
Hakuna MUNGU wa msimu kwamba ni WA ramadhani au pasaka; MUNGU yupo hai wakati wote na Hana muda na makundi ana muda na nafsi Moja Moja. Endapo uliiweka Imani Yako kwamba wakifunga walio wa MUNGU basi nawewe ushinde njaa umepotoka. Kufunga siyo kusubiri Watu wafunge au kusubiri kalenda ya dini; funga sahihi ni Ile isiyozingatia Ramadhani Wala Pasaka.
Maisha Yetu siyo Ramadhani Wala Pasaka, maisha Yetu ni usafi wa wakati wote tukisubiri mwisho mwema. Zini utakavyo, Leo utakavyo na sherekea pasaka na Ramadhani kinyume na matakwa ya MUNGU uidhani utasamehewa kwa kujinyima kula. You are totally wrong.
Nimetoa wito huu kuwakumbusha wale waliofungulia dhambi kwamba walijipa siku 30 za kushinda njaaa siyo kufunga. Tusifuate mjumbe; tufuate maelekezo ya MUNGU.
Narudia; MUNGU wa wakristo na Waislamu alaghaiwi na kushinda njaa kwamba umepata mateso, anapokea Toba na maisha yakumpendeza kipindi chote Cha uhai wako.
Hakuna MUNGU wa msimu kwamba ni WA ramadhani au pasaka; MUNGU yupo hai wakati wote na Hana muda na makundi ana muda na nafsi Moja Moja. Endapo uliiweka Imani Yako kwamba wakifunga walio wa MUNGU basi nawewe ushinde njaa umepotoka. Kufunga siyo kusubiri Watu wafunge au kusubiri kalenda ya dini; funga sahihi ni Ile isiyozingatia Ramadhani Wala Pasaka.
Maisha Yetu siyo Ramadhani Wala Pasaka, maisha Yetu ni usafi wa wakati wote tukisubiri mwisho mwema. Zini utakavyo, Leo utakavyo na sherekea pasaka na Ramadhani kinyume na matakwa ya MUNGU uidhani utasamehewa kwa kujinyima kula. You are totally wrong.
Nimetoa wito huu kuwakumbusha wale waliofungulia dhambi kwamba walijipa siku 30 za kushinda njaaa siyo kufunga. Tusifuate mjumbe; tufuate maelekezo ya MUNGU.
Narudia; MUNGU wa wakristo na Waislamu alaghaiwi na kushinda njaa kwamba umepata mateso, anapokea Toba na maisha yakumpendeza kipindi chote Cha uhai wako.