Walioitwa kwenye interview udom

Walioitwa kwenye interview udom

Ng'ongoampoku

Member
Joined
Sep 18, 2012
Posts
47
Reaction score
9
Kwa wale walioitwa kwenye interview university of dodoma waangalie majina yao tena kwani kunalist imetoka baadhi ya majina hayaonekani, majina yaliyotoka mwanzoni yalikuwepo lakini list ya majina ya pili hayapo,

kwa mfano nafasi za warden, mwazoni walichaguliwa watahiniwa 626 na jina langu lilikuwepo lakini sasa majina yametoka tena na idadi ni ile ile lakini jina langu halipo. I don't know what happened, au ndo uchakachuaji umeanza?

Naombeni ushauri cha kufanya, niache kwenda kwenye interview au nifanye nini?

Nawasilisha
ahsanteni
 
mh dah kijana usipoteze nauli yako bure ..cha kufanya nadhani watapiga simu kuwakumbushien mda na saa na vitu ambavyo mnatakiwa muwe navyo siku ya written interview...
dah wasipopiga basi endelea na ishu zako nyingine
 
Back
Top Bottom