Waliojaribu kumteka Bonge wanajulikana mpaka Stendi ya Magufuli lakini kimya! Polisi mnaepuka vipi kuhusishwa kwenye mazingira haya?

Waliojaribu kumteka Bonge wanajulikana mpaka Stendi ya Magufuli lakini kimya! Polisi mnaepuka vipi kuhusishwa kwenye mazingira haya?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Waliomteka Bonge haitofautiani sana na yule wa Dar 24, wote wanajulikana sema kwa Bonge wameonekana na Watanzania wote, wapo waliotoa taarifa zao huko X na kule Stedi ya Magufuli wanajulikana vizuri japokuwa walikuwa wakitumia majina tofauti, wala siyo siri, lakini mpaka sasa hakuna aliyetiwa nguvuni, si wale walijaribu kwa Mkurugenzi wa Dar 24 wala kwa bonge! Hao akina Chaula na Soka ndio matumaini yametoweka kabisa kuwapata wazima, huku nako mpaka leo kimya!

Leo anakuja kuchukuliwa mwingine kwa style ileile, na kwa huyu inaweza kuwa kama akina Soka! Polisi mnaepuka vipi kuhusishwa kwenye matukio kama haya kama watu wanajulikana lakini hawatiwi nguvuni? Serikali mnaepuka vipi kikombe hiki kama mko goigoi kushughulika na matukio kama haya?

Au mnasubiri karibu na kampeni ndio muwatoe kusema juhudi za serikali zimekomesha watu wasiyojulikana ili mpate justification ya kushinda kwa kishindo? Nacheka lakini ni si kwa kububujikwa machozi ya furaha!

Na huzuni na fedheha kubwa kuliko zote ni kwetu wananchi, wenzetu wanatekwa tunaangalia! Tunawabananisha majambazi lakini tunashindwa kuwataitisha watekaji! Tunaelekea kubaya!
 
Ndio hivyo yaan Watu wamepumbazwa na uchama kwa hio hapo km kulikua na wale wa Chama A wanafurahia kabisa mkamateni huyo mpinzani mkamuue huko aache kutusunbua
 
Tunapoipeleka hii nchi ni Mungu tu aingilie kati vinginevyo machafuko yatakua zaidi ya Rwanda kipindi kile
 
Tutapigana muda sio mrefu nasema tutapigana muda sio mrefu
 
Ni suala tu la muda kabla ya watu kuanza kujichukulia sheria mikononi. Na binafsi nitafarijika sana pale nitakapo ona watu wanaanza kujitetea/kujilinda dhidi ya hao wahuni. No way out.
 
Mmeanza leo wakati Nondo anachukuliwa mchana kwepe na mbele ya macho ya watu. Huu ushujaa wa kutishia ukiwa umelala kitandani kawadanganye Chadema wenzako!
Hata paka ukijifungia naye chumbani na kuanza kumtesa atapigana ,unyonge una mwisho hata Kinjeketile alipigana kwa maji dhidi ya bunduki kwa muda kabla kushindwa.
 
Wakuu,

Waliomteka Bonge haitofautiani sana na yule wa Dar 24, wote wanajulikana sema kwa Bonge wameonekana na Watanzania wote, wapo waliotoa taarifa zao huko X na kule Stedi ya Magufuli wanajulikana vizuri japokuwa walikuwa wakitumia majina tofauti, wala siyo siri, lakini mpaka sasa hakuna aliyetiwa nguvuni, si wale walijaribu kwa Mkurugenzi wa Dar 24 wala kwa bonge! Hao akina Chaula na Soka ndio matumaini yametoweka kabisa kuwapata wazima, huku nako mpaka leo kimya!

Leo anakuja kuchukuliwa mwingine kwa style ileile, na kwa huyu inaweza kuwa kama akina Soka! Polisi mnaepuka vipi kuhusishwa kwenye matukio kama haya kama watu wanajulikana lakini hawatiwi nguvuni? Serikali mnaepuka vipi kikombe hiki kama mko goigoi kushughulika na matukio kama haya?

Au mnasubiri karibu na kampeni ndio muwatoe kusema juhudi za serikali zimekomesha watu wasiyojulikana ili mpate justification ya kushinda kwa kishindo? Nacheka lakini ni si kwa kububujikwa machozi ya furaha!

Na huzuni na fedheha kubwa kuliko zote ni kwetu wananchi, wenzetu wanatekwa tunaangalia! Tunawabananisha majambazi lakini tunashindwa kuwataitisha watekaji! Tunaelekea kubaya!
Kwani aliyekwambia polisi wanakwepa kuhusishwa na watekaji ni nani?
 
Dawa ni kutafuta familia za watekaji na kuzichoma moto,nadhani kwa namna hii hili litakoma.
 
Back
Top Bottom