Waliojiunga na Umoja Fund "Unit Trust of Tanzania"

Shori

Senior Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
146
Reaction score
25
Jamani naomba kufahamu faida inayopatikana kwenye mifuko ya UTT inatolewa katika mfumo wa simple interest au compound interest; yaani faida inakuwa inajumlishwa na mtaji au usipo nunua vipande vingine mtaji wako haungozeki?

Tafadhali kama unaufahamu na hicho kitu nisaidie mimi nipo mbali na ofisi zao.
 
Mkuu pitia kwenye tovuti yao hapa Utt home page nadhani humo utapata mengi zaidi hasa kuhusiana na huo mfuko wa Umoja. Tafuta offer document ya mfuko wa umoja ambayo utaipata humo kwenye tovuti ina maelezo ya kutosha.
 

pitia hapa mkuu utt-tz.org/umoja_fund_uo.php
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…