Jamani naomba kufahamu faida inayopatikana kwenye mifuko ya UTT inatolewa katika mfumo wa simple interest au compound interest; yaani faida inakuwa inajumlishwa na mtaji au usipo nunua vipande vingine mtaji wako haungozeki????
Tafadhali kama unaufahamu na hicho kitu nisaidie mimi nipo mbali na ofisi zao.