WALIOKAMATWA KWA KUHUSIKA KUMJERUHI Dr Mvungi SASA BADO WATAKUWA WANASHTAKIWA KWA KOSA HILO HILO

WALIOKAMATWA KWA KUHUSIKA KUMJERUHI Dr Mvungi SASA BADO WATAKUWA WANASHTAKIWA KWA KOSA HILO HILO

crome20

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2010
Posts
1,193
Reaction score
810
Kwanza natoa pole kwa kumpoteza Kipenzi chetu Dr Mvungi kwa sababu ya ujinga wa baadhi ya Watanzania wenzetu. Pili naomba kuuliza iwapo mtu amemjeruhi mwenzake, na baada ya muda majeraha hayo yakasababisha mtu kupoteza maisha, je kisheria mtuhumiwa anaweza kubadilishiwa mashtaka na kuwa ya mauaji? Please help me out of this because I want to see the criminals involved in the attack to Dr Mvungi meet the wrath of the law.
 
mzee, hao watabadilishiwa shitaka na kuwa shitaka la kuua kwa kukusudia. ndio maana wakati mwingine ukimjeruhi mtu akawa serious hospitali unaweza usipate dhamana kwasababu watakuwa wanaogopa ukipata dhamana yule akifa hawatakupata tena, akipata nafuu ndio unapata dhamana (pamoja na kwamba this is not always), ila kuhusiana na hao waliokuwa wamemjeruhi, lazima watabadilishiwa shitaka na kuwa na shitaka la kuua kwa kukusudia kabisa, na ikithibitika mahakamani kwa ushahidi kuwa kweli walifanya hivyo, watanyongwa hadi kufa bofya SHERIA KWA KISWAHILI
 
kosa lao litakuwa la mauaji kwa kuwa tendo walilotenda limesababisha kifo,ishu kubwa ni evidence from the family walichosikia au kuona siku ya tukio coz I believe hakuwa pekee. kwa mujibu wa sheria ya makosa ya jinai, lazima mtuhumiwa atende kitendo, akiwa na nia mbaya, na tendo hilo limletee madhara mwingine. Yote katika kesi ya mvungi yanaonekana. The issue is, those in police hands are the real people who committed the crime? did the police take DNA samples at the crime scene to support their prayer for conviction? was the crime scene sealed before the DNA samples were collected?, je mapanga aliyoyashika kova kwenye TV mkemia mkuu alikuwa amesha-collect DNA samples from them?
 
Na hapa ndio tuna shida sana hadi watu wanapata adhabu ya faini ya sh 1000/= Kuna yule aliyekutwa na bastola na kwa mujibu wa vyombo vya habari alikiri kuhusika katika uporaji. Police wanaweza kuwa walianza vizuri lakiniwakamalizia vibaya ama kwa makusudi au kwa uzembe wa kushindwa kusimamia vizuri evidences. Thanks anyway for the info. RIP Dr Mvungi. Amen
kosa lao litakuwa la mauaji kwa kuwa tendo walilotenda limesababisha kifo,ishu kubwa ni evidence from the family walichosikia au kuona siku ya tukio coz I believe hakuwa pekee. kwa mujibu wa sheria ya makosa ya jinai, lazima mtuhumiwa atende kitendo, akiwa na nia mbaya, na tendo hilo limletee madhara mwingine. Yote katika kesi ya mvungi yanaonekana. The issue is, those in police hands are the real people who committed the crime? did the police take DNA samples at the crime scene to support their prayer for conviction? was the crime scene sealed before the DNA samples were collected?, je mapanga aliyoyashika kova kwenye TV mkemia mkuu alikuwa amesha-collect DNA samples from them?
 
Back
Top Bottom