Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Nimesikitika sana na vitendo viovu na hujuma mnazosema mmefanyiwa.
" Wote mliokatwa majina,
Kwa mikono miwili na kwa upendo wa hali ya juu mnakaribishwa ktk chama kizuri cha CCM.
Ulizeni waliokuja i.e Msigwa, Mtatiro nk watawaambia CCM ni kuzuri kwa kuwa kuna demokrasia pana na komavu.
Msakila Kabende
K/Magharibi mwa
Tanzania
" Wote mliokatwa majina,
- Wote mlioenguliwa,
- Wote mtakaodhihakiwa,
- Wote mnaopenda demokrasia pana,
Kwa mikono miwili na kwa upendo wa hali ya juu mnakaribishwa ktk chama kizuri cha CCM.
Ulizeni waliokuja i.e Msigwa, Mtatiro nk watawaambia CCM ni kuzuri kwa kuwa kuna demokrasia pana na komavu.
Msakila Kabende
K/Magharibi mwa
Tanzania