Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam.
Kwamba Wale waliokuwa wafanyabiashara wa soko hilo kabla halijaungua na ambao majina yao hayapo kwenye mkeka mpya, wameandamana kuelekea CCM Lumumba!
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Sasa sijajua kama ni wajinga au la, Maana hawakupaswa kuelekea huko badala yake walipaswa kwenda kwenye mamlaka husika.
Nani kawachuuza kirahisi hivi? Tangu lini ccm ilikuwa na msaada kwenye mambo haya?
Pia soma: DC Ilala awatuliza wafanyabiashara Kariakoo, kukutana na Chalamila kesho
Kwamba Wale waliokuwa wafanyabiashara wa soko hilo kabla halijaungua na ambao majina yao hayapo kwenye mkeka mpya, wameandamana kuelekea CCM Lumumba!
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Sasa sijajua kama ni wajinga au la, Maana hawakupaswa kuelekea huko badala yake walipaswa kwenda kwenye mamlaka husika.
Nani kawachuuza kirahisi hivi? Tangu lini ccm ilikuwa na msaada kwenye mambo haya?
Pia soma: DC Ilala awatuliza wafanyabiashara Kariakoo, kukutana na Chalamila kesho