Waliokereka na matokeo ya leo

Vipi wale waliotoa kauli za kwamba Yanga inashinda kwa tabu kwenye uwanja wa mkapa, akienda mkoani hawaambulii kitu.
Barbara FC utawaweza,
Timu ya kuongozwa na mwanamke lazima iwe ya maneno maneno
 
Hapo kinacho kufurahisha kwenye msimamo ni kipi?
Wapi niliandika kuwa nimefurahia msimamo wa ligi? Nimeongelea maneno ya watu kusema kuwa Yanga hawatopata matokeo kwenye viwanja vya mikoani lakini hadi Sasa alama 6 zimepatikana kwenye viwanja vya mikoani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…