Waliokosa mkopo waandamana dar

Mi nasema chuo naenda na nitasoma bila kulipa chochote labda nitolewe roho.
 
ijumaa tutapewa majibu yetu so kila mtu afike il apate kujibiwa hapa ni lazima tupewe haki yetu ndio mambo yaende sawa na KESHO nitawasiliana na NAIBU WAZIRI MH MULUGO ILI AJUE WALE AMBAO WALITAJWA KUPEWA KIPAUMBELE NDIO WAMEKOSA mf,yatima,masikini$priority courses na WATU WALIOKOSA NI 23,300:jamani hata kama ni kwa RAISI itabidi twende
 
xa me cjamuelewe eti waandike majina yao hlf watapata mjib baada ya wk moja, je ambaye yupo mtwara au kigoma na yeye aandike jina lake wapi?

Yaani??!!!! mbona kaz ipo wajameni.Kama mm nipo Mbeya,nitaandika wapi jina
 
Inashangaza mno. Jamani tumpate aliekuwepo tuwasiliane nae nasi tumpe taarifa zetu atuwakilishie. Nasi niwaathirika.
 

thumb up mkuu,kwa maneno yako inaonyesha ni jinsi gani vijana tumeshatambua haki zetu.
Hakuna dhambi kubwa duniani kama woga!
Mapambano yanaendelea and God bless your sons
 
Hawa jamaa ni wapuuzi sana ila sasa inatosha,inabid tupiganie haki zetu maana haiwezekan fungu liongezwe halaf watu waendelee kukosa mkopo hasa watoto wa wakulima wakat watoto wa vigogo wanakula mkopo.Serikali nayo niyakijinga tuu pamoja viongoz wake kwan hawajielewi kabisa na yale wanayoyafanya,mafunzo ya JKT ndo muda wake kufanya kaz
 
na cc 2lioko mikoan 2fanyeje? kampan 2nayo ila sasa uwezo wa kufka huko,2wakilshen vzur jaman
 
Tanzania daima wachochezi wanataka bomu la lowassa lilipuke teh teh!!only in mr fastjet's beautiful nation.god bless tz
 
Jaman wadau 2naomba mtujuze itakavyokuwa hapo kexo cc wa mikoan kama kutakuwa na kuandika majina index yangu S1485.0087.2010 tunaomba msaada wenu wadau kwan cc tuko mbal..pamoja sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…