talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Takribani wanafunzi zaidi ya Elfu 23,000 waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu mwaka huu wamekosa mikopo kwaajili ya kuwawezesha kusoma Elimu ya juu. Hawa ni watanzania na wengi wao ni masikini wa kutupwa. Tunaandaa taifa lenye mpasuko mkubwa. Yangu macho!!!
Una lipi la kusema juu ya hali hiyo?
source
East Africa Radio
Una lipi la kusema juu ya hali hiyo?
source
East Africa Radio