Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Baada ya pitso mosimane kuondoka nchini misry na kuachana na mabingwa wa kihistoria Al ahly, kuna wabongo wa kukariri mpira walianza malalamiko na makasiriko kwamba al ahly watapata tabu π
π
π
sasa wazee wa kukariri mpira mmekwama na pitso wenu, ni kwamba mmeumbuka.
Al ahly iliyofanya vibaya kwa pitso leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 6 dhidi ya Pyramids.
Fifa club World cup tumempiga Auckland goli 3, na seattle sounders tukamwasha kimoja, na next game tunakutana na madrid semi final.
Haya endeleeni na lawama zenu zisizoisha, na huko saudia Arabia daraja la pili timu yake imeshuka na sasa inashika nafasi ya 4 na pitso wao.. siku wakimfukuza msianze kusema waarabu ni wabaguzi.
Tuacheni uswahili uswahili
Al ahly iliyofanya vibaya kwa pitso leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 6 dhidi ya Pyramids.
Fifa club World cup tumempiga Auckland goli 3, na seattle sounders tukamwasha kimoja, na next game tunakutana na madrid semi final.
Haya endeleeni na lawama zenu zisizoisha, na huko saudia Arabia daraja la pili timu yake imeshuka na sasa inashika nafasi ya 4 na pitso wao.. siku wakimfukuza msianze kusema waarabu ni wabaguzi.
Tuacheni uswahili uswahili