Tetesi: Waliokuwa wanasomea ualimu wakiwa na ufaulu wa div 4 kurudishwa nyumbani

Tetesi: Waliokuwa wanasomea ualimu wakiwa na ufaulu wa div 4 kurudishwa nyumbani

Keneth12

Senior Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
114
Reaction score
162
Wana jamnvi leo nimeshangaa sana na kusikitika kusikia wapo form 4 ambao walikuwa na div 4 na walijiunga na vyuo vya ualimu, kwa sasa wanafunzi hao waliachishwa kusoma na kuambiwa warudie hadi wapate div 3 ndio wataruhusiwa kuendelea au kusomea ualimu, nauliza kwanini wasingewaacha halafu wanaojiunga wapya ndio wapewe masharti hayo, maana hata mtu akifanya mtihani na asipate div 3 imetoka, amelipa ada na amepoteza muda mwingi kusoma inakuwaje. lazima tuwe wangwana sisi sote ni watanzania, Jakaya Kikwete aliporuhusu hili lilikuwa jema kwa wengi na walimshukuru Mola, sasa tuangalie tunafanya nini kuzalisha form 3 ili wajiunge na vyuo vya ualimu haijasaidia bado kuziba getu ya uhaba wa waalimu wala kuwafanya wawe na performance ya juu wapo watakao kuwa nayo na wengine ndo hivyo cha msingi ni kuwa upgrades na kuwajengea uwezo zaidi katika fani hiyo.
 
Div 3 ni kigezo kilichoanza ktk udahili huu uliopita.

Hao unaozungumzia walidahiliwa mwaka gani?
 
Div 3 ni kigezo kilichoanza ktk udahili huu uliopita.

Hao unaozungumzia walidahiliwa mwaka gani?
Kwa nilivyomuelewa ni kuwa walidahiliwa kabla ya udahili huu.
 
Afadhali wameliona hilo.Tutatatua tatizo moja la upungufu wa walimu tulete lingine la walimu wenye uwezo mdogo

Bora wawe wachache ila wenye content
 
Wana jamnvi leo nimeshangaa sana na kusikitika kusikia wapo form 4 ambao walikuwa na div 4 na walijiunga na vyuo vya ualimu, kwa sasa wanafunzi hao waliachishwa kusoma na kuambiwa warudie hadi wapate div 3 ndio wataruhusiwa kuendelea au kusomea ualimu, nauliza kwanini wasingewaacha halafu wanaojiunga wapya ndio wapewe masharti hayo, maana hata mtu akifanya mtihani na asipate div 3 imetoka, amelipa ada na amepoteza muda mwingi kusoma inakuwaje. lazima tuwe wangwana sisi sote ni watanzania, Jakaya Kikwete aliporuhusu hili lilikuwa jema kwa wengi na walimshukuru Mola, sasa tuangalie tunafanya nini kuzalisha form 3 ili wajiunge na vyuo vya ualimu haijasaidia bado kuziba getu ya uhaba wa waalimu wala kuwafanya wawe na performance ya juu wapo watakao kuwa nayo na wengine ndo hivyo cha msingi ni kuwa upgrades na kuwajengea uwezo zaidi katika fani hiyo.
Ccm ni ile ile Hatunywi sumu hatujinyongi [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Tuliomaliza Masuala Elimu 2015 Tuna afadhari ila kwa hawa wadogo zetu kazi ipo
 
Mimi kuna watu bado nawaona tu Vichwa maji, Haiwezekani kabisa uwe na ufaulu wa div 3 uende ualimu, Ualimu una nini haswa mpaka mtu aliefaulu aende? Nchi yetu Haadhamini kabisa ,Mtu Pcb anazingua six anaingia bachelor ya ualimu hapo Mwingine anaenda kupiga diploma ya clinical officer au engineering, Sasa watafute baada ya kumaliza chuo hao wote, ndio utajua Taaluma ya ualimu ni laana tupu
 
Div 3 ni kigezo kilichoanza ktk udahili huu uliopita.

Hao unaozungumzia walidahiliwa mwaka gani?
Huyu binti nliyekutana naye alidahiliwa mwaka jana ana mwaka 1 wameachishwa sasa imemlazimu arisiti mtihani wa form 4 ili atafute div 3. mliosikia walikuwa chuo kikuu walipangiwa kwenda kwenye vyuo vidogo na ambao serikali ilisema hawana sifa wondilewe ni hao div 4
 
Huyu binti nliyekutana naye alidahiliwa mwaka jana ana mwaka 1 wameachishwa sasa imemlazimu arisiti mtihani wa form 4 ili atafute div 3. mliosikia walikuwa chuo kikuu walipangiwa kwenda kwenye vyuo vidogo na ambao serikali ilisema hawana sifa wondilewe ni hao div 4
Nchi ipo kwny majaribio.
Tuendelee kuwa wavumilivu tu maana hatuelewi nini haswa kinahitajika na ni njia zipi zinatumika kukipata.
 
Ila jaman huu sio utaratibu.
Yaan mnawatia watu majaribuni.
Sasa mtu ameshalipa ada halafu unaleta ujanja ujanja sio inshu!!!
 
hao wanatuzslilisha sie walimu kweli division four labda ualimu wa vidudu walimu tunatakiwa tuwe na one au two vipangaaaa
 
Ila jaman huu sio utaratibu.
Yaan mnawatia watu majaribuni.
Sasa mtu ameshalipa ada halafu unaleta ujanja ujanja sio inshu!!!
Arudishiwe tu ada yake walimu vilaza hapana.
 
Wakienda na div 4 haziishii hapo
Wanaenda kuharibu watoto wetu.
 
Afadhali wameliona hilo.Tutatatua tatizo moja la upungufu wa walimu tulete lingine la walimu wenye uwezo mdogo

Bora wawe wachache ila wenye content

Ufauli wa darasani, na uwezo wa kufundisha ni vitu viwili tofauti jombaa
 
Back
Top Bottom