ualimu niliupigaaa chini sabb hauthaminiki ila nilipenda sana kuwa mwalimu nikaona sio case ngoja nisome fani nyingine sabb nilikuwa na sifa ya kusoma fani yeyote ya sayansiMtu mwenye uwezo wa kufundisha atafundisha nini sasa kama ufaulu hana
Daah mungu akusamehe tuu maana mwalimu ndo kakufanya uweze kuandika huo upuuzi wako hapo juuMimi kuna watu bado nawaona tu Vichwa maji, Haiwezekani kabisa uwe na ufaulu wa div 3 uende ualimu, Ualimu una nini haswa mpaka mtu aliefaulu aende? Nchi yetu Haadhamini kabisa ,Mtu Pcb anazingua six anaingia bachelor ya ualimu hapo Mwingine anaenda kupiga diploma ya clinical officer au engineering, Sasa watafute baada ya kumaliza chuo hao wote, ndio utajua Taaluma ya ualimu ni laana tupu
Acha upuuzi wewe mbona unaropoka kwa kitu usichokijua ujaona mtu chuo anaGPA ya juu lakini TP ana DMtu mwenye uwezo wa kufundisha atafundisha nini sasa kama ufaulu hana
Huo ni ukweli mchungu mkuu,Daah mungu akusamehe tuu maana mwalimu ndo kakufanya uweze kuandika huo upuuzi wako hapo juu
Sure mkuu bora hivyo wamechujwa...elimu haiwezi simamiwa na watu waliofeli bwana, bora upungufu wa walimu kuliko walimu weupee ambao watazidi kuharibu future ya vijana wetu. Uzuri wa bahati watu wengi wazuri waliosomea kozi zingine kama electronics, computer science n.k. wanafanya postgraduate diploma ya education kutokana na fursa kuwa finyu ktk kozi zingine. So tutapata walimu vipanga tofauti na hao waliofeli.Afadhali wameliona hilo.Tutatatua tatizo moja la upungufu wa walimu tulete lingine la walimu wenye uwezo mdogo
Bora wawe wachache ila wenye content