Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Nimegundua ubora wa elimu hapa TZ,ulianza kushuka miaka ya 2008, kama tunakumbuka kipndi hiki(kikwetism) mitihani ya taifa form 2 na form 4 ilivuja mno, Madogo wengi walitusua kwa kwenda shule za vipaji maalum. Miaka ya hapa kati 2009,2010,....,...2012 elimu yetu bado ilikuwa ikilegalega. Matokeo ya mtihani form iv 2013,SERIKALI imeamua kuwabeba wanafunzi na kujiriDHIsha kuwa inatekeleza sera ya BRN. Kwa maelezo haya mi naona msomi wa mwisho kumaliza form IV nchini TANZANIA ni yule aliyemaliza miaka ya 2007,2006,2005....... Hawa wa miaka ya 2008,2009,........ ni wasomi wa kupewa maksi na serikali! Au ninyi mnaonaje wakuu?