Waliomchomoa Ndugai kwenye Usipika wa bunge, wamuombe radhi, alionya nchi kuendeshwa kwa mikopo..!

Waliomchomoa Ndugai kwenye Usipika wa bunge, wamuombe radhi, alionya nchi kuendeshwa kwa mikopo..!

piyonerer

Member
Joined
Feb 5, 2025
Posts
36
Reaction score
77
Kina Ndugai walikuwa wakiona mbaali sana, walikuwa wakiziona hizi nyakati, walionya wakapuuzwa na viongozi wa ccm, leo kiko wapi

Nchi kujitegemea ndio mpango mzima ingawa mwanzo una maumivu yake lakini ndiyo heshima yenyewe

Kina JPM (RIP) walikuwa na jicho kali sana, walijua kuwa, kuna siku hawa wafadhili wakuu wa nchi zetu hizi masikini watalianzisha tu

Na ndiyo maana tulifikia mahali, hata chaguzi zetu, kutumia pesa zetu ili kuongeza uhuru wa nchi kujiamulia

Ndugai aljisemea tu, jamani, ni vema kama nchi kuvaa mkanda na kuanza hatua ya kujitegemea nakuondokana na kutegemea mikopo

Matokea yake ikaonekana ni kama kasema matusi ya nguoni na kosa la jinai, akachomolewa usipika

Tuwaulize, Ndugai yeye kasema tu kwa mfano, na sasa mfano umekuwa hai kwa lazima, mumwombe radhi basi
 
mbona alivokuwa spika hakuona kipindi cha jpm .Na huyu mnyakyusa wa sugu spika naye hakikosa hiko kitu utasikia tanzania aliiona ya kambona.
 
Kina Ndugai walikuwa wakiona mbaali sana, walikuwa wakiziona hizi nyakati, walionya wakapuuzwa na viongozi wa ccm, leo kiko wapi

Nchi kujitegemea ndio mpango mzima ingawa mwanzo una maumivu yake lakini ndiyo heshima yenyewe

Kina JPM (RIP) walikuwa na jicho kali sana, walijua kuwa, kuna siku hawa wafadhili wakuu wa nchi zetu hizi masikini watalianzisha tu

Na ndiyo maana tulifikia mahali, hata chaguzi zetu, kutumia pesa zetu ili kuongeza uhuru wa nchi kujiamulia

Ndugai aljisemea tu, jamani, ni vema kama nchi kuvaa mkanda na kuanza hatua ya kujitegemea nakuondokana na kutegemea mikopo

Matokea yake ikaonekana ni kama kasema matusi ya nguoni na kosa la jinai, akachomolewa usipika

Tuwaulize, Ndugai yeye kasema tu kwa mfano, na sasa mfano umekuwa hai kwa lazima, mumwombe radhi basi
Yes, wamuombe radhi Ndugai! Kwanza kitendo cha Hangaya na machawa wake kumng’oa mkuu wa mhimili mwingine kilikuwa cha kihaini. Machawa ni shida. Mimi naamini na nitaendelea kuamini kuwa uchawa ndio adui namba moja wa nchi yetu!
 
Kina Ndugai walikuwa wakiona mbaali sana, walikuwa wakiziona hizi nyakati, walionya wakapuuzwa na viongozi wa ccm, leo kiko wapi

Nchi kujitegemea ndio mpango mzima ingawa mwanzo una maumivu yake lakini ndiyo heshima yenyewe

Kina JPM (RIP) walikuwa na jicho kali sana, walijua kuwa, kuna siku hawa wafadhili wakuu wa nchi zetu hizi masikini watalianzisha tu

Na ndiyo maana tulifikia mahali, hata chaguzi zetu, kutumia pesa zetu ili kuongeza uhuru wa nchi kujiamulia

Ndugai aljisemea tu, jamani, ni vema kama nchi kuvaa mkanda na kuanza hatua ya kujitegemea nakuondokana na kutegemea mikopo

Matokea yake ikaonekana ni kama kasema matusi ya nguoni na kosa la jinai, akachomolewa usipika

Tuwaulize, Ndugai yeye kasema tu kwa mfano, na sasa mfano umekuwa hai kwa lazima, mumwombe radhi basi
Ni kweli
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Kina Ndugai walikuwa wakiona mbaali sana, walikuwa wakiziona hizi nyakati, walionya wakapuuzwa na viongozi wa ccm, leo kiko wapi

Nchi kujitegemea ndio mpango mzima ingawa mwanzo una maumivu yake lakini ndiyo heshima yenyewe

Kina JPM (RIP) walikuwa na jicho kali sana, walijua kuwa, kuna siku hawa wafadhili wakuu wa nchi zetu hizi masikini watalianzisha tu

Na ndiyo maana tulifikia mahali, hata chaguzi zetu, kutumia pesa zetu ili kuongeza uhuru wa nchi kujiamulia

Ndugai aljisemea tu, jamani, ni vema kama nchi kuvaa mkanda na kuanza hatua ya kujitegemea nakuondokana na kutegemea mikopo

Matokea yake ikaonekana ni kama kasema matusi ya nguoni na kosa la jinai, akachomolewa usipika

Tuwaulize, Ndugai yeye kasema tu kwa mfano, na sasa mfano umekuwa hai kwa lazima, mumwombe radhi basi
What are the disadvantages of foreign aid?

It can be used to manipulate or control the recipient country's politics, limit its autonomy, and weaken its sovereignty. Additionally, foreign aid can create a dependence on the donor country, which can lead to long-term economic and social problems for the recipient nation.
 
Back
Top Bottom