Waliompiga msanii Mr Nice na kumuharibu sura lengo lao kuu lilikuwa kumla kiboga

Waliompiga msanii Mr Nice na kumuharibu sura lengo lao kuu lilikuwa kumla kiboga

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Imebainika kuwa waliompiga mr nice na kumuharibu sura lengo lao kubwa lilikuwa kumfanya kitu kibaya (kumla kiboga) kisa kikiwa ni mke wa mtu,lengo lao kubwa kuna watu wamesema lilikuwa kumfanyia vibaya kisha kumpiga picha.Hivyo mr Nice inabidi ashukuru kwa sababu alipigwa tu hakufanyiwa tendo ilo.Mke wa mtu ni sumu...


 
bora wangemla icho kiboga yaishe kuliko kumkoroboa io sura.....ataishije asa mjin????
 
bora wangemla icho kiboga yaishe kuliko kumkoroboa io sura.....ataishije asa mjin????

hahahaha ati bora kiboga!!! mi naona bora kupigwa,ila tukumbuke mke au mchumba wa mtu ni sumu
 
Mbona kama sio yeye ktk picha au kwasababu ya kupigwa sura imebadika gafla mmmh jaman binadamu wabaya
 
Aisee ugua pole ila na ukome wake za watu...
 
Hiyo picha sio ya mwaka huu,ni kipigo cha mwaka jana
 
hahahaha ati bora kiboga!!! mi naona bora kupigwa,ila tukumbuke mke au mchumba wa mtu ni sumu

Acha masihara ebu ngoja tuweke kumbu kumbu sawa "Mchumba wa mtu sumu" katika hatua za uchumba milango huwa iko wazi kwa wachumbiaji kama sio wato.... mbeaji. Nina kubali mke wa mtu ni Poison sio Mchumba
 
Wazembe sana hao jamaa..kama walipata muda ya kumpiga ivyo sasa walishindwa vipi kumla tigo??hawana timing kabisa,
 
huyu nadhan analaana af anapenda papuch wakat ulee wa kibogold nlikuwa nakaa nae mtbn yan nyumba yetu af geto analoish linafwatia wakati huo ananengua kwenye promoshen za kibogold alikuwa anapenda xana papuch
 
Back
Top Bottom