Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Rais Yoweri Museveni ameagiza vikosi vya usalama kuwatafuta kwa haraka watu walioneza habari za uongo za kifo chake.Rais Museveni aliyasema haya katika sherehe ya kuapishwa kwa wabunge katika uwanja wa Kololo mjini Kampala.
My Take:
Nahisi kuanza kupata majibu ya kwa nini wakuu waliogopa kuconfirm taarifa ya kuugua kwa Shujaa,
My Take:
Nahisi kuanza kupata majibu ya kwa nini wakuu waliogopa kuconfirm taarifa ya kuugua kwa Shujaa,