Waliong'oa viti Kwa Mkapa wanapaswa kufungwa gereza la kilimo wakazalishe mpunga miaka mitatu

Waliong'oa viti Kwa Mkapa wanapaswa kufungwa gereza la kilimo wakazalishe mpunga miaka mitatu

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Hii nchi kuna makosa huwa mnafunga watu miaka mingi lakini ni ya kawaida sana.

Kosa la kung'oa viti ni kosa la uhujumu uchumi. Hao ndio watu wasiojali kuharibu hata miundo mbinu mingine ya serikali kama alama na taa za barabarani.

Serikali haitakiwi kucheka na nyani.Wafungwe gerezani na kazi ngumu ili iwe fundisho.

Nina hasira sana na vitendo hivyo vya kihuni.Asee mkiwaacha,mtakuwa mmefuga ugonjwa hatari sana.
 
Hii nchi kuna makosa huwa mnafunga watu miaka mingi lakini ni ya kawaida sana.

Kosa la kung'oa viti ni kosa la uhujumu uchumi. Hao ndio watu wasiojali kuharibu hata miundo mbinu mingine ya serikali kama alama na taa za barabarani.

Serikali haitakiwi kucheka na nyani.Wafungwe gerezani na kazi ngumu ili iwe fundisho.

Nina hasira sana na vitendo hivyo vya kihuni.Asee mkiwaacha,mtakuwa mmefuga ugonjwa hatari sana.
Wazo zuri
 
Tunachekeana sana ila hapa alitakiwa awajinibishwe mtu binasfi
wanachukulia ni "matukio michezoni" ni kama mchezaji akimkwatua mwenzake akaanguka akafa, mchezaji huyo hashitakiwi kwa murder . ni kama matukio mengi michezoni (kwenye football) yanasimamiwa zaidi na FIFA/CAF
 
Tunachekeana sana ila hapa alitakiwa awajinibishwe mtu binasfi
Wote, club na walioahusika. Angalizo ili kulikomesha hili mtu mmoja mmoja, (binafsi), lazima awajibishwe, kwa maana bila kufanya hivyo litakuwa ni donda ndugu a.k.a tabulele
 
Hii dhana ya kuona Kilimo Ni adhabu kwa wahalifu ndio inafanya Tz tuendelee kuwa masikini badala ya kuona Kilimo Ni ajira na sekta nyeti
 
Hii dhana ya kuona Kilimo Ni adhabu kwa wahalifu ndio inafanya Tz tuendelee kuwa masikini badala ya kuona Kilimo Ni ajira na sekta nyeti
Wanaenda.kujifunza kilimo ili wakitoka huko wawe wabobezi kwenye kilimo
 
...Ndomana uongozi wa kimahakama unahitaji watu wenye busara na elimu na utulivu kwenye hukumu.
Laiti wangekuwa wanaendesha n hisia Kama wewe 100% wengi tungekuwa jela.
 
Hii nchi kuna makosa huwa mnafunga watu miaka mingi lakini ni ya kawaida sana.

Kosa la kung'oa viti ni kosa la uhujumu uchumi. Hao ndio watu wasiojali kuharibu hata miundo mbinu mingine ya serikali kama alama na taa za barabarani.

Serikali haitakiwi kucheka na nyani.Wafungwe gerezani na kazi ngumu ili iwe fundisho.

Nina hasira sana na vitendo hivyo vya kihuni.Asee mkiwaacha,mtakuwa mmefuga ugonjwa hatari sana.
Kwa hiyo tuwafuate kule nchini kwao tuwalete na kuwatupa mung'anda?
 
Back
Top Bottom