Waliongua wapinzani wanaingia misikitini na makanisani?

Waliongua wapinzani wanaingia misikitini na makanisani?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Swali. Hawa walioengua wapinzani wanaingia misikitini na makanisani kusali au ni wapagani?
Kwa binaadam wa kawaida ambae anaingia misikitini au makanisani hawezi kufanya hivi

NIMEULIZA HIVYO KWA SABABU

Qur'an inatoa mafundisho muhimu kuhusu kutenda haki hata wakati wa chuki au hisia nyingine za kibinafsi. Mwenyezi Mungu anasisitiza kuwa, hata kama mtu anachukia au anahisi vibaya dhidi ya wengine, haki inapaswa kutendwa bila upendeleo. Hii ni kanuni muhimu katika Kiislamu, inayohusiana na uadilifu na ustawi wa jamii.

Katika Surat Al-Ma'idah (5:8), Qur'an inasema:

"Enyi mliyoamini! Iweni waadilifu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mashahidi kwa haki, wala msikie kwa uchoyo kwa ajili ya watu; wala msiwe na chuki na watu kwa sababu ya wema waliowatendea, kwa hiyo kuwa waadilifu. Haki ni bora zaidi."
(Qur'an, 5:8)
Aya hii inaonyesha kuwa, hata kama mtu anachukia au ana hisia za kibinafsi dhidi ya mtu mwingine, inatakiwa kutenda haki bila kupendelea au kuacha haki kwa sababu ya chuki. Haki ni lazima itendeke kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na watu wanapaswa kuwa waadilifu na kuwa mashahidi wa haki, hata kama watakuwa na hisia tofauti na waliokwishatendewa.

Hadithi Kuhusu Kutenda Haki Bila Upendeleo

Mtume Muhammad (SAW) pia alisisitiza umuhimu wa kutenda haki bila upendeleo, akisema:

"Mtendeeni watu kwa haki, hata ikiwa hiyo itakuwa dhidi yenu au familia zenu."
(Hadithi kutoka Sahih Muslim)
Hadithi hii inaonyesha kuwa haki haipaswi kutegemea hisia binafsi, kama vile upendeleo kwa familia au marafiki, bali inapaswa kutendeka kwa haki, bila kujali hali yoyote ile.
 
Kwa nini wasiingie??
Makanisa na misikiti ni kwa ajili ya kuzikana zaidi na social interactions
 
Swali. Hawa walioengua wapinzani wanaingia misikitini na makanisani kusali au ni wapagani?
Kwa binaadam wa kawaida ambae anaingia misikitini au makanisani hawezi kufanya hivi

NIMEULIZA HIVYO KWA SABABU

Qur'an inatoa mafundisho muhimu kuhusu kutenda haki hata wakati wa chuki au hisia nyingine za kibinafsi. Mwenyezi Mungu anasisitiza kuwa, hata kama mtu anachukia au anahisi vibaya dhidi ya wengine, haki inapaswa kutendwa bila upendeleo. Hii ni kanuni muhimu katika Kiislamu, inayohusiana na uadilifu na ustawi wa jamii.

Katika Surat Al-Ma'idah (5:8), Qur'an inasema:


Aya hii inaonyesha kuwa, hata kama mtu anachukia au ana hisia za kibinafsi dhidi ya mtu mwingine, inatakiwa kutenda haki bila kupendelea au kuacha haki kwa sababu ya chuki. Haki ni lazima itendeke kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na watu wanapaswa kuwa waadilifu na kuwa mashahidi wa haki, hata kama watakuwa na hisia tofauti na waliokwishatendewa.

Hadithi Kuhusu Kutenda Haki Bila Upendeleo

Mtume Muhammad (SAW) pia alisisitiza umuhimu wa kutenda haki bila upendeleo, akisema:


Hadithi hii inaonyesha kuwa haki haipaswi kutegemea hisia binafsi, kama vile upendeleo kwa familia au marafiki, bali inapaswa kutendeka kwa haki, bila kujali hali yoyote ile.
Nikiyakumbuka ya tarehe 07 oktoba 2023 kule Israel nashindwa kuelewa kama haya maandiko ya Quran yanazingatiwa!!

Na bahati mbaya sana madereva wakuu wa uchafuzi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa ni kina Mohamed. Viongozi wao kwanini hawakemei??

Kuna kitu hukijui kuhusu hii dini yetu
 
Si hata lile Ndengereko linalojikomba kwa mtawala ambalo ndiyo limepewa dhamana ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa linajifanya kuswali! Wanafikiri hata huko jehanamu wanaweza wakafanya ujanja ujanja wakatoboa!
 
Swali. Hawa walioengua wapinzani wanaingia misikitini na makanisani kusali au ni wapagani?
Kile chama Huwa wanafanya kazi na watu wenye tamaa za vyeo kwa kimvuli Cha wazalendo,ila ukiwaza deeply,kama wewe ni mtu wa ibada kile chama ni kama lift ya kwenda kuzimu, ukikipenda kwa interest zako mwenyewe jua lazima watakutumikisha kukatili HAKI za watu, wanaoathirika hapa kwa kiasi kikubwa ni wale watumishi wa umma ,
 
Nikiyakumbuka ya tarehe 07 oktoba 2023 kule Israel nashindwa kuelewa kama haya maandiko ya Quran yanazingatiwa!!

Na bahati mbaya sana madereva wakuu wa uchafuzi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa ni kina Mohamed. Viongozi wao kwanini hawakemei??

Kuna kitu hukijui kuhusu hii dini yetu
Propaganda za kanisani za Isreal useless humu
 
Back
Top Bottom