Hawa jamaa kuna watu wamewanyima mkopo kwa sababu za kitoto kabisa eti
1.kozi siyo priority wakati kuna wanafunzi wamepata mikopo bila kujali kozi za kipaumbele,
2.vilevile wamesema Tcu walikosea kuweka baadhi ya kozi ni ya kipaumbele wakati siyo ya kipaumbele
3.Budget ilifika mwisho jaribuni mwakani wanaamini vp bajeti mwakani itatosha
4.Wengine wamekosa kozi ni priority kisa ni equivalent wamemaliza form four zamani sana
5.Hivi waliowanyima mkopo wanatarajia watasoma lini????? na mwaka gani
TUJITAHIDI TUFANYE TUWEZALO TWENDENI BODI TUKALALE PALE PALE HIVI UTARATIBU UKOJE?KWANZA WAMEFICHA KUSEMA WAZI WALIOKOSA MKOPO ILI UMMA USIJUE,SASA TWENDENI SOTE TUKAONEKANI....
1.kozi siyo priority wakati kuna wanafunzi wamepata mikopo bila kujali kozi za kipaumbele,
2.vilevile wamesema Tcu walikosea kuweka baadhi ya kozi ni ya kipaumbele wakati siyo ya kipaumbele
3.Budget ilifika mwisho jaribuni mwakani wanaamini vp bajeti mwakani itatosha
4.Wengine wamekosa kozi ni priority kisa ni equivalent wamemaliza form four zamani sana
5.Hivi waliowanyima mkopo wanatarajia watasoma lini????? na mwaka gani
TUJITAHIDI TUFANYE TUWEZALO TWENDENI BODI TUKALALE PALE PALE HIVI UTARATIBU UKOJE?KWANZA WAMEFICHA KUSEMA WAZI WALIOKOSA MKOPO ILI UMMA USIJUE,SASA TWENDENI SOTE TUKAONEKANI....