Walioomba ukarani wa sensa Arusha mjini (manispaa) majina yametoka....i

Walioomba ukarani wa sensa Arusha mjini (manispaa) majina yametoka....i

kajiti

Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
59
Reaction score
7
Tembelea mbao za matango za kata au manispaa. Japo ndiyo hivyo wengine hatukubahatika!
 
Mimi nimegoma sihesabiwi wala sitaki kuhesabu mtu upo mkuu wangu kajiti ha ha ha ha.
 
Last edited by a moderator:
huo uwe msimamo wako binafsi ....chondochonde usimshawishi mtu mwingine!
 
Back
Top Bottom